Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa umehama.nchi. sabunni ya codray vimto ayu soap vipooo
KUNA kipindi nilikuwa najaribu kuingia kwenye mtandao angalau nitafute picha ya gazeti la Dar leo na alasiri lakini sikufanikiwa, Embu Nipatie ukipata
Asante sana kwa kunirekebisha kwa hilo. Nakumbuka tulikuwa tunaisaga na kuweka kwenye vidonda. Lakini sikuwahi kujua ni antibioticDah una kumbukumbu mujarabu. Hiyo #12 MB siyo aina ya panadol, ilikuwa ni antbiotic ni kama Septrine za leo.
Shukrani mkuuPATASI, hii ilikuwa ni bandeji nzito inayovutika iliyovaliwa mguuni badala ya kiatu, watumiaji walikuwa askari na wacheza mpira(enzi hizo hakukua na viatu vya kuchezea mpira).
Halafu Kenya hawapotezi brand zao kirahisi!
" Cowboy" pamoja na "Blueband" bado zipo sokoni ila wamebadili vifungashio toka vya mabati na kuwa vya plastic.
Vibarafu flani vitamu sanaa mtaani kwetu vilipatikana duka la muindi mmoja tuu(Muindii)😂😂😂😂Bambucha 🤣