Tujikumbushe vitu na bidhaa mbalimbali za zamani ambazo kwasasa hazipo tena

.... wewe ulikuwa mtoto mambo safi familia bora mboga 7 kunisevia, sisi baruti zetu tulikuwa tunatumia spoke za baiskeli na unga wa njiti za kiberiti.
 
Hapana sio kwamba mambo safi ila kwa sisi tulisoma shule za mjini tumepata hii experience. Nikirudi kitaani pia nakutana na experience nyingine. Yani baruti za spoke pia nimezipiga sana
.... wewe ulikuwa mtoto mambo safi familia bora mboga 7 kunisevia, sisi baruti zetu tulikuwa tunatumia spoke za baiskeli na unga wa njiti za kiberiti.
 
Hapana sio kwamba mambo safi ila kwa sisi tulisoma shule za mjini tumepata hii experience. Nikirudi kitaani pia nakutana na experience nyingine. Yani baruti za spoke pia nimezipiga sana
ahaahah.. mkuu usitorokeee. kubali tuu hizo watoto wa kishua mlikuwa mnatutishia tunakimbia kama nini.
 
Luxury buses dar to dodoma. Siri yako, the big mayai, good times and royal luxury coach.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…