kimugina
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,143
- 577
Kibaba baba na kimama mama ndo nilikua napenda na nijlikuwa nafanya kweli ila kila nikifika home bi mkubwa anashtuka nachezea kichapo balaa
Aisee niliwakaza mademu wengi sana kinguo nguo enzi izo,nilio wafanya kweli ni wachache sana kuliko wa kinguo nguo