UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,673
- 12,265
Umeona ehhee..Hapo unaweza kuniteta wala nisishike hata moja..Sisi tulikuwa na ya kuongea Kinyume, pamoja na ya kuondoa herufi za mwisho na kuweka "psi"....Mapsi vipsi kapsi(mambo vipi kaka)
Dah aisee kweli kila zama na kitabu chake ,hili la kombolela bi mkubwa alinikataza kucheza sasa siku hiyo jioni namkuta sebuleni ,anaiuliza umetoka wapi nikamwambia kwa rafiki yangu kumbe nimetoka kucheza kombolela ,nlikua nimevaa converse all star sijui Siafu waliingia saa ngapi si ndio wakaanza kuning'ata ,bi mkubwa anashangaa natoa tu machozi kumbe navumilia balaa la siafu ,yule siafu nilimuua kwa nyundo kwa maumivu aliyonipa na kidogo aniumbue nimetoka kwenye kombolela