Tujikumbushe Wachezaji ambao ni ndugu Katika Soka!

Tujikumbushe Wachezaji ambao ni ndugu Katika Soka!

Soka ni mchezo wa aina yake, unafatiliwa na mamilioni ya watu ulimwenguni. Kuna baadhi ya wachezaji wametoka katika familia za soka. Unakutana baba na wanawe au mtu na kaka, mjomba, binamu yake wote wamecheza soka kwa kiwango cha juu. Mfano kwa Tanzania kuna akina Salum Swedi na Said Swedi. Hawa ni mtu na kaka yake.

Karibuni wadau tujikumbe wachezaji wa soka ambao wana undugu, iwe bongo au ulaya!
Issa athuman na kasongo athuman
 
Frank na Ronald de Boer wadachi hawa
Binafsi nilimpenda zaid frank alikuwa mkoba
wa ukweli sana waliipeleka Holland nusu fainali kombe la dunia 1998
hqdefault.jpg
 
Mhehe ndio MWANAMTWA KIHWELU? Namkumbuka mkali huyu!

kwenye familia ya soka Ongeza na NJOHOLEs! Rennatus! Deo! Boniface!
Amachanganya, ni Mhesa Kihwelu, na kuna Sehemu amemwelezea Makumbi Juma, AKA yake akaitaja "Hoja ya Jiji" amekosea ni Homa Ya Jiji. Mtangazaji Ahemed Jongo, alilitamka sana jina hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sunday manara ' computer', kassim manara na Yule mwingine jina limenitoka
Iddi moshi, mrisho Moshi na haruna moshi
Mohammed abubakar 'phantom' na idd abubakar
Kitwana Manara (Popat), huyu ndio kaka yao, alikuwa mshambuliaji na golikipa pia, hajatokea mchezaji wa aina hii Tanzania. Sunday Manara Computer na Kassim ni wadogo, Kassim Manara mzee wa bicycle kick ni mdogo wao, alichezea Pan Africa baadae akaenda kucheza soka la kulipwa Austria.

Vv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom