Tujikumbushe wachezaji wa Mtibwa ambayo ilitwaa Ubingwa wa Tanzania Bara mwaka 2000

Tujikumbushe wachezaji wa Mtibwa ambayo ilitwaa Ubingwa wa Tanzania Bara mwaka 2000

Na baada ya Mtibwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu bara mwaka huo walilitia aibu taifa kwa wao kushindwa kusafiri kwenda kucheza mechi ya marudiano ya mtoano ya awali katika mashindano ya caf champions league iliyowapelekea kula ban ya miaka 3 pamoja na faini kutoka CAF.
 
2000 ni Wakongwe?

Kweli Wakongwe nao wana Wakongwe
 
Steven Nemes
Godfrey kikumbizi
Geofrey Magori
Monja Liseki
John Mabula
Rajab Musoma
Kasium Mwabuda
Hamza Kidilu
Kamba Luffo
Mecky Mexime
Salhina Mjengwa
 
Back
Top Bottom