Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ni kama kesi ya Jela MtagwaKucheza mpira bongo changamoto sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama kesi ya Jela MtagwaKucheza mpira bongo changamoto sana
Huyo Betwel kama nina mashaka nae alikuja baadae kwenye 2003 hivi.PATRICK BETWEL MASAI, KASIMU ISSA BEDUI
Noma sanaNi kama kesi ya Jela Mtagwa
Modest alisha pumzika mkuuMara ya mwisho alikuwa anaomba kuchangiwa matibabu kwani alikuwa anasumbuliwa na miguu
Una hakika Mkuu maana mara ya mwisho alikuwa mlinzi wa kiwanda cha Mtibwa
Kwa vyanzo ninavyoviaminiUna hakika Mkuu maana mara ya mwisho alikuwa mlinzi wa kiwanda cha Mtibwa
Credible source mkuu ntaitafuta nipe mdaMkuu sidhani
Poacredible source mkuu ntaitafuta nipe mda
Niende magurumbasi walipo kuwa wanaishi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyo bedui ana undugu na bedui mcheza draft?PATRICK BETWEL MASAI, KASIMU ISSA BEDUI
Joseph Kaniki na alifungwa Ethiopia Kwa kesi ya ngadaHivi ni Christopher au Joseph Kaniki?
Forward yao matata sana aliitwa Aboubakar MkangwaHuu uzi ni kwa wakongwe tu, wadogo zetu njooni mle maarifa
Mimi naanza na Alphonse Modest, endelea na wewe
Sio Ethiopia ni Mauritius mkuuJoseph Kaniki na alifungwa Ethiopia Kwa kesi ya ngada
Forward yao matata sana aliitwa Aboubakar Mkangwa
Yupo hai ingawa anaumwa