Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Daah huyu mwamba sijui yupo wapi siku hiziAlphonse Modest,
Hivi Steve Nemes aliondoka Yanga ndipo akaenda Mtibwa au?Monja Liseki,Salhina Mjengwa, Meki Mexine, golikipa wao Stive Nemes
Hivi ni Christopher au Joseph Kaniki?Christopher Kaniki alikuwa anachezea wapi vile
Joseph kaniki.. Christopher ni Christopher alex(marehemu)Hivi ni Christopher au Joseph Kaniki?
Mara ya mwisho alikuwa anaomba kuchangiwa matibabu kwani alikuwa anasumbuliwa na miguuDaah huyu mwamba sijui yupo wapi siku hizi
Hivi Thomas Mashalla alikuwepo au ndo ilikuwa bado?Zubery katwila
kassim abdi bedui
gwakisa mwantembo
Sina kumbukumbu vizuri...hivi Mashalla alianza Simba ndio akaenda Mtibwa au kinyume chake?Hivi Thomas Mashalla alikuwepo au ndo ilikuwa bado?
Kucheza mpira bongo changamoto sanaMara ya mwisho alikuwa anaomba kuchangiwa matibabu kwani alikuwa anasumbuliwa na miguu
Alitoka Simba kwenda Mtibwa nahisiSina kumbukumbu vizuri...hivi Mashalla alianza Simba ndio akaenda Mtibwa au kinyume chake?