Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Yeboah nae alikuwa fundi sana, nakumbuka nyakati zake alivyosumbua akiwa LeedsIbrahim Tanko
Tony Yeboah
Mtu na samasoti zakeAgahowa
Haswaaa. Ila mwenyewe akazingua. Refa ikawa kazi nyepesi kwake.Unajua pale angeshangilia refa angeweka kati.
Haswaaa. Ila mwenyewe akazingua. Refa ikawa kazi nyepesi kwake.
namkumbuka alikuwepo kwenye kikosi cha tunisia 2004/06Unamkumbuka Riyadh Jaidi wa Tunisia?
Wee mpuuzi wazazi wako hawajakufunza adabu? Uwe na manner nzuri ya kuandika kujificha nyuma ya keyboard kusikufanya ujitoe ufahamu jinga wewe!Acha kiki za ksenggge
Yaah ulikuwa mkoba wa deportive la coruna alikuwa yupo vizuriUnamkumbuka Riyadh Jaidi wa Tunisia?
Pole kwa kukurudisha enzi hizooooUmenikumbisha mbali sanaaa KK 11.
Hao watatu wa mwisho mkuu ni msimu mmoja tu ndio waliwika tena ni wajuzi tu ijapokuwa mm mwenyewe nimezaliwa 90'Nwanko KANU
Taribo west
Daniel amokachi
Uche ikwechuku
Celestine babayaro
Tijan babangida
Mustafa el haj
Patrick mbona
Henry camara
El haj diouf
Papaa bouba diop
lomana lua lua namkumbuka sana huyu jamaa wa Dr CongoLua Lua Dr Congo
Yousef hadji mtoe mkuu ,mbajishe kaka mkubwa Mustafa haji mtu wa kazi ,riyadh bhouzoz wa tunisia,mustafa hadji,yousef hadji,lucas radebe,mark fish,philiph masinga
Salute kwako mkuu,bakayokoo m'bukinabeeBakayoko
Anaitwa abeid ayew aka pele of Africa.Wengi wanasema kukosekana kwa Pele katika fainali kuliidhoofisha mno Ghana.
Ni kama Ballack alivyokosa Fainali ya World cup 2002 kulivyoiathiri Ujerumani.
mustafa haji miroccoRabah madjer -algeria
Ibrahim Sunday -ghana
Mohamed timoumi -morroco
Abdoulaye traore -ivory coast
Jules bocande -
Suleyman sane -ivory coast
Opuku nti -ghana
Bosile boli -ivory coast
Charles akunor -ghana
Frank amankwa -ghana
Kalusha bwalya
Cherles musonda
Baadae alienda kumalizia mpira wake Bolton ambapo pale alikuwepo na akina Kevin Davies, Kelvin Nolan, Ivan Campo, Youri Djokaeff, Jay Jay Okocha, Juusi Jaasklainen, Nicholas Anelka na wengineo chini ya jemedari Sam Allardayce " Big Sam "Yaah ulikuwa mkoba wa deportive la coruna alikuwa yupo vizuri