Kitumbikwela
Senior Member
- Nov 5, 2016
- 140
- 99
Moja kati ya fainali za kihistoria katika michuano hii ilikuwa mwaka 1992 kati ya Ivory Coast na Ghana nchini Senegal.
Katika mechi hiyo Ivory Coast walishinda kwa penati 11-10, penati ya mwisho ya Ghana alipiga Tony Baffoe alikosa, Pele hakucheza alikuwa na adhabu ya kadi aliyopata kwenye nusu fainali na Nigeria.
Katika mechi hiyo Ivory Coast walishinda kwa penati 11-10, penati ya mwisho ya Ghana alipiga Tony Baffoe alikosa, Pele hakucheza alikuwa na adhabu ya kadi aliyopata kwenye nusu fainali na Nigeria.