Ally KatolilaBaada ya kuwaona baadhi ya wachwzaji wanaotoka katika mkoa wa Mwanza hasa Wasukuma leo tujikumbushe wachezaji waliotokea mkoa wa Kigoma ambao kabila kuu ni Waha na Wamanyema, naanza na wafuatao
1. Edibily Lunyamila
2. Seleman Matola
3. Wilfred Kidau
4. Alphonce Modest
5. Said Sued "Scud"
6. Nteze John
7......
Taifa StarsHuyu kachezea timu gani?
PAN AFRICAHuyu kachezea timu gani?
KITWANA MANARA
SUNDAY MANARA
KASSIM MANARA
Kwenye siasa...Na Haji Manara Na Mpira wake wa Mdomoni
Watu wa Kigoma wamejaaliwa Vipaji Kila eneo walilopo
Kwenye Mpira, kwenye dini, kwenye ushirikina, kwenye ubishi, kwenye Biashara n.k
Kwenye siasa...
Duh... kwahiyo hapa pana funzo kubwa sana toka kwa hawa watu... Huyu Zitto huyu kumbe anaweza kufuata nyayo za wenzake waliomtangulia...Maana nao pia walikuwa machachari kwelikweliLakin Pia ndio Mkoa unaoongoza Kwa Wabunge hao wa Upinzani baadae kurudi CCM
Ukianza Na DkKabourow, Nzasugwanko, Machari, Kafulila n.k
Mwinyi Rajab akutokea Kigoma ametokea Burundi ingawa asilia yake ni Mtanzania kutokea Rufiji Mkoa wa PwaniYahya Akilimali
Yahya Mohammed Tostao
Mwinyi Rajab
fafanua kidogo, ni mzaliwa wa wapi?Mwinyi Rajab akutokea Kigoma ametokea Burundi ingawa asilia yake ni Mtanzania kutokea Rufiji Mkoa wa Pwani