Tujikumbushe walioishi siku 72 kwa kula maiti baada ya ajali ya ndege

Uwiiiiii uwiiiiiii 😭😭😭
 
Itabidi niiicheki. Ni nzuri kuitazama na demu mpya unaemtokea ili akihofu namkumbatia na kumpoza kwa mahaba.
 
Karatasi walitoa wapi walitumia peni gani pi na bard Kali karatasi lingeloa STORY NZURI ILA IMETUNGWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu ukisoma story vzuri unagundua ni ya kutungwa mfano walikuwa kwenye barafu je karatasi halikulowa? Pia walitumia Nini kuandika ujumbe? Jiulize kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu ukisoma story vzuri unagundua ni ya kutungwa mfano walikuwa kwenye barafu je karatasi halikulowa? Pia walitumia Nini kuandika ujumbe? Jiulize kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni true story inabidi uisome mwenyewe au kuangalia movie yake
Kwa Mimi naamini ni Kweli kwani mpaka waliopatwa na madhila hayo wapo mpaka leo
Kila mmoja wetu ana haki ya kukubali au kukataa
Sikupingi kwa utafiti wako


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Njoo kwangu tuiangalie mkuu[emoji23]. Tukimaliza hapo tunaangalia caannibal holocaust kabla ya kumalizia na SAW


Sent from my iPhone using JamiiForums
SAW mziki mnene huo jiandae kukumbatiwa usiku kucha
 
Nyama zote duniani zinaliwa inategemea na eneo tu
Nalog off
 
Inaitwaje hiyo movie mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejarb tu kufikilia kulikuwa na barafu why karatasi halikulowa? Pia kalamu ya kuandika walitoa wap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejarb tu kufikilia kulikuwa na barafu why karatasi halikulowa? Pia kalamu ya kuandika walitoa wap

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimejarb tu kufikilia kulikuwa na barafu why karatasi halikulowa? Pia kalamu ya kuandika walitoa wap

Sent using Jamii Forums mobile app

Waliopata majanga hayo ndio waliohadithia
Waliwaacha wenzao kutafuta msaada ndipo wakakutana na mto na upande wa pili wakaona watu
Anyway walivyosema ni kuwa waliandika kwenye karatasi na kuikunja kwenye jiwe na uzi halafu kumtupia mtu upande wa pili na ndio kuwataarifu police




Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…