Tujikumbushe wana Azania

Tujikumbushe wana Azania

Mimi nilisoma AzaJangwa (Form I hadi Form VI) miaka ya 47, BANGI hazikuwepo kabisa enzi hizo. Nasikitika kusikia kuwa walikuja kuwepo wavuta Bangi. Namkumbuka Meja, Kisamo, Dathy, Mwl. Amos ( yeye alikuwa anashughulika na Miradi ya shule enzi hizo). ilikuwa raha tupu, mkimaliza la saba sel form zote za wavulana chaguo la kwanza AZANIA. Meja akiona shati tu wewe jisalimishe alikuwa anauwezo mkubwa sana huyu mzee na pia matani mengi hasa kwa rafikiye Mwl. Amos
 
Haya nyie wakina dogo , sie tulisoma Azania enzi za Joshua Mwambungu halafu akaja Bagenda na msaidizi wake marehemu Mnyamuru na meja alikuwepo pia enzi hizo!! Hakukuwa na wavuta bangi enzi zetu ; watu walikuwa wanapiga book tu ndio siri ya mafanikio yetu!!
 
Pamoja ndugu, mi nimemaliza o-level 93 nilikue E, nakumbuka jinsi tulivyokua na mchakato wa kuchagua nembo ya kuweka kwenye mashati maana b4 hatukua na nembo, nakumbuka nilikua fine arts that time, mzee meja alikua kiboko mzee wa kupokea form ones na kuwapa tour ya shule I really enjoyed vichekesho vyake na darasa la yule teacher wa history Mr Kente na mavazi yake ya miaka ya 47.LOL nikipita na kuona ukuta ule uliozunguka ile shule nawaonea huruma, sisi tulikua tunapiga kitabu kwenye ma-tembe kule groundini na kula sana msosi wa jamaa wa boarding jioni.LOL Big up aza boys. aah nimesahau na macho ya mchwampaka noma unaweza ukadhani anaangalia pembeni kumbe anakucheki wewe, hahahaaaaa.

Mkubwa ndo mwaka wangu huo mi nilikuwa IV- F na nilikuwa fine arts vile vile sitomsahau Mrope alivyotuincourage kuwa artists sema tatizo art hailipi ndio maana wengi hatukuendelea na art.Mr Kente umenikumbusha mbali ndugu yangu yule mzee amenifanya mpaka leo hii kuwa the best historian na sitomsahau alivyokuwa akitembea kila siku toka magomeni mpaka fire sijui alikuwa anasave nauli au anafanya mazoezi.Ukuta waliowekewa enzi zetu haukuwepo naona waliweka ila kudhibiti nidhamu.Ila kwenye matembe umenimaliza maana mimi nilikuwa memba mzuri tu pamoja na kina Zinjanthropas sijui kama unamkumbuka
 
Haya nyie wakina dogo , sie tulisoma Azania enzi za Joshua Mwambungu halafu akaja Bagenda na msaidizi wake marehemu Mnyamuru na meja alikuwepo pia enzi hizo!! Hakukuwa na wavuta bangi enzi zetu ; watu walikuwa wanapiga book tu ndio siri ya mafanikio yetu!!

Mkubwa pokea heshima yako maana bila nyie mliopita miaka mingi iliyopita Azania isingekuwa jinsi ilivyo.Anyway kila kizazi kinapita na madoido yake na wale tuliokuwa kipindi mageuzi yanaingia ndio tuliona fujo zote za uvutaji bangi wizi na mambo mengi ya ajabu lakini ilibidi akili kuwa kichwani ujue umefuata nini pale otherwise zero ilikuwa unakusubiri.
 
mimi nilisoma azajangwa (form i hadi form vi) miaka ya 47, bangi hazikuwepo kabisa enzi hizo. Nasikitika kusikia kuwa walikuja kuwepo wavuta bangi. Namkumbuka meja, kisamo, dathy, mwl. Amos ( yeye alikuwa anashughulika na miradi ya shule enzi hizo). Ilikuwa raha tupu, mkimaliza la saba sel form zote za wavulana chaguo la kwanza azania. Meja akiona shati tu wewe jisalimishe alikuwa anauwezo mkubwa sana huyu mzee na pia matani mengi hasa kwa rafikiye mwl. Amos

long live azania
 
Sintosahau hili chama mazee,mi nilikuwa hapo from form one till form six.kipindi cha kina kwayu,mkongo,mchwampaka,maleko,matley.dath,charles,n.k.but it was a great experience being there meeen.One thing i remember about Azania is...you can be whoever you want to be...i mean ukitaka kuwa Kichwa unapiga div one point seven form four unaweza coz kuna watu wanastruggle sana katika books.
on the other hand ukiamua kupiga division zero pia unaweza coz kuna watu kazi yao ilikuwa kuvuta bangi na kufanya fujo tu.

Nakumbuka tuition za mchikichini a.k.a mbuzi area...
michezo ya UMISETA
Hostel za Azaboy
Misuli tuliyokuwa tunapiga na washkaji wote..

nakumbuka tuition ni muhimu kwa azania kuliko vipindi vya darasani,na ikija pepa ya taifa tulikuwa tunafumua kweli.

I can't forget azania coz imenifanya niweze kusoma shule katika mazingira yoyote yale.

Viva Azania.

Nakubaliana na wewe 100% you can be the person you want to be na masuala ya tuition yalikuwa hayakwepeki sababu wakati huo ndio Azania walimu waliongoza mgomo baridi kudai nyongeza ya mishahara ilifikia wakati unakaa darasani the whole week mwalimu hajatokea ilibidi tujichanganye na tuition tu vipi mzee Mkichwe wa Jangwani kuna wanaomkumbuka kwa tuition ya Physics.Anyway that experience made me able to survive in any part of the world now.
 
makitaja Azania sijui najisikiaje, mdogo wangu alimaliza pale 2003 ila hizo bangi anazopuliza ni balaa, na anasema walikuwa wanavuta hadi class

Pole dada yangu na kwa mdogo wako maana katika mjumuiko kuna mengi lakini ukweli unabaki wazi kuwa most of X-Azania they did well.Na kama ilitokea hivyo basi kulikuwa na matatizo katika ufuatiliaji especially katika familia maana katika jamii kuna wabaya na wazuri.Na ikitokea wa kwako akawa sio mzuri basi ni vizuri kumtizama yeye zaidi kuliko kuiangalia vibaya Azania yetu
 
Mimi nilisoma AzaJangwa (Form I hadi Form VI) miaka ya 47, BANGI hazikuwepo kabisa enzi hizo. Nasikitika kusikia kuwa walikuja kuwepo wavuta Bangi. Namkumbuka Meja, Kisamo, Dathy, Mwl. Amos ( yeye alikuwa anashughulika na Miradi ya shule enzi hizo). ilikuwa raha tupu, mkimaliza la saba sel form zote za wavulana chaguo la kwanza AZANIA. Meja akiona shati tu wewe jisalimishe alikuwa anauwezo mkubwa sana huyu mzee na pia matani mengi hasa kwa rafikiye Mwl. Amos

Nyati, hizo ndo enzi nlizokuwepo, ingawa Baada ya Muda Mr. Kwayu akampokea Kisamo, huyo Kisamo alikuwa katili kweli siku moja nusura amtoe kichwa kijana mmoja baada ya kumlenga na Fyekeo (Kwanja) kule jikoni baada ya kijana kuwa nje ya mstari.

Azania ilikuwa cool sana, mambo ya mibangi tuliwaachia Tambaza ingawa kulikuwa na vijana walioshirikiana na wale wa Tambaza waliounda kundi la Barcelona, Azania ilikuwa shule tu, intake yetu ndo ilikuwa ya kwanza kuzindua ule mpango wa double session (zamu za kuingia asubuhi na mchana) Baadhi ya waalimu walikuwa hawa:-

Mwl. Kisamo (H/ Master)
Mwl. Meja (Assitant H/M) baadaye alihamia Same Secondary
Mwl. Amos, baadaye alipelekwa Wizarani
Mama Semguruka (Nidhamu) Sikumbuki jiana sawasawa ila alikuwa teacher wa Kiswahili na alikuwa safi sana kwenye maonyo.
Mwl. Mashanga (aliongozaga mgomo wa kwanza wa Waalimu enzi za Mzee Ruksa)
Mwl. Bulemo

Baadhi ya Wachezaji maarufu wa Azania enzi hizo walikua:-
Robert Mwampemwa aka Vimvi (baada alikuja kuwa cartoonist mzuri kwenye magazeti, sijui yuko api sasa)
Sasi
Lucky
Cecil (huyu alikuwa full back left mnene lakini mwepesi sana)
Edward Mpandang'ong'o (Ball dancer)

Geofey Nyange (KAburu) M/ Mwenyekiti wa Simba pia alikuwepo wakati huo yuko A' level mimi niko O'Level.
 
AZABOYS!! mi nilikuwa hapo 1994 - 1997 enzi za kwanyu na Mchwampaka!! enzi hizo Mchwampaka anamuita KWAYU KAKA!! . Kwenye Mihoga kuna jaamaa anaitwa nyuki!!!! enzi hizo wakina Mcheni wanandoto za kwenda SOUTH wakaishia Jela huko!!! wimbo wa AZANIA AZANIA!!! Ezi za kina COOL SOUP!!! WAKINA BATMAN waanzilishi wa vita ya AZANIA NA TAMBANZA!!! Enzi zile ukila chips unaitwa Bishoo!!!
 
Mkubwa ndo mwaka wangu huo mi nilikuwa IV- F na nilikuwa fine arts vile vile sitomsahau Mrope alivyotuincourage kuwa artists sema tatizo art hailipi ndio maana wengi hatukuendelea na art.Mr Kente umenikumbusha mbali ndugu yangu yule mzee amenifanya mpaka leo hii kuwa the best historian na sitomsahau alivyokuwa akitembea kila siku toka magomeni mpaka fire sijui alikuwa anasave nauli au anafanya mazoezi.Ukuta waliowekewa enzi zetu haukuwepo naona waliweka ila kudhibiti nidhamu.Ila kwenye matembe umenimaliza maana mimi nilikuwa memba mzuri tu pamoja na kina Zinjanthropas sijui kama unamkumbuka

Zinja namkumbuka, F mlikua na makundi mawili mnapambana kweli mamluki na nimesahau lile jingine ( nafikiri wafarisayo not sure) wakina Spoiler, Kwame na yule monita wenu form 2 mlikua mnamtania kiuno, LOL. nakumbuka skonz za brake tukiwa tunaingia asubuhi si mchezo washkaji wa F walitokomea na skonz za darasa zima ilikua balaa, unamkumbuka yule mkorea alikuja kusoma azania ikawa balaa kila siku ilikua kukimbizana na kutoa kichapo? Goodluck alimchokoza siku moja basi ilikua balaa. Alafu kuna ticha mmoja tulikua tunamwita kicheche LOL. ila nilikua nampenda mwalimu isaya wa hesabu alikua makini sana. I really enjoyed Azania.
 
AZABOYS!! mi nilikuwa hapo 1994 - 1997 enzi za kwanyu na Mchwampaka!! enzi hizo Mchwampaka anamuita KWAYU KAKA!! . Kwenye Mihoga kuna jaamaa anaitwa nyuki!!!! enzi hizo wakina Mcheni wanandoto za kwenda SOUTH wakaishia Jela huko!!! wimbo wa AZANIA AZANIA!!! Ezi za kina COOL SOUP!!! WAKINA BATMAN waanzilishi wa vita ya AZANIA NA TAMBANZA!!! Enzi zile ukila chips unaitwa Bishoo!!!

Mkuu kabla ya hapo kulikua na biff kati ya Tambaza na Azania around 91-92, wakati huo kulikua na kikundi kinaitwa Barcelona na jamaa mmoja alikua anaitwa Puza RIP. baada ya kauhasama flani tukawa shwari na Tambaza baada ya kuwachapa kwenye mechi moja ilifanyika pale kwetu. Azania kulikua na vichwa kwelikweli.
 
Zinja namkumbuka, F mlikua na makundi mawili mnapambana kweli mamluki na nimesahau lile jingine ( nafikiri wafarisayo not sure) wakina Spoiler, Kwame na yule monita wenu form 2 mlikua mnamtania kiuno, LOL. nakumbuka skonz za brake tukiwa tunaingia asubuhi si mchezo washkaji wa F walitokomea na skonz za darasa zima ilikua balaa, unamkumbuka yule mkorea alikuja kusoma azania ikawa balaa kila siku ilikua kukimbizana na kutoa kichapo? Goodluck alimchokoza siku moja basi ilikua balaa. Alafu kuna ticha mmoja tulikua tunamwita kicheche LOL. ila nilikua nampenda mwalimu isaya wa hesabu alikua makini sana. I really enjoyed Azania.[/QUOT
:lol::lol:MKUU umenichekesha na kunikumbusha mbali sana maana hizo skonzi ni mimi na Lunya wa upanga ndio tulitokomea nazo mamluki tulikuwa sisi tuliotoka 1G na 1F wafarisayo walikuwa ni wale walioanzia 1F Spoiler sina habari zake mkorea ilikuwa balaa na goodluck aka Mbulumundu sijui yuko wapi na tulikuwa na mchoraji mmoja anapeda sana kuchora picha za bob Marley naye nilisikia alienda states .Na hapo kwa mwalimu isaya wala hujakosea jamaa alikuwa mtaalamu na aliipenda kazi yake.Uko wapi ndugu yangu.
.
 
Teh teh teh this so funny!!!!!!!!! sasa mbona hamjaongelea ile juice pale kwa mkemia na mihogo manake ndio yalikuwa maisha yetu pale Azaboy kasoro mabishoo na watoto wa mama (matajiri)wachache waliokuwa wanakula chips
 
Nyati, hizo ndo enzi nlizokuwepo, ingawa Baada ya Muda Mr. Kwayu akampokea Kisamo, huyo Kisamo alikuwa katili kweli siku moja nusura amtoe kichwa kijana mmoja baada ya kumlenga na Fyekeo (Kwanja) kule jikoni baada ya kijana kuwa nje ya mstari.

Azania ilikuwa cool sana, mambo ya mibangi tuliwaachia Tambaza ingawa kulikuwa na vijana walioshirikiana na wale wa Tambaza waliounda kundi la Barcelona, Azania ilikuwa shule tu, intake yetu ndo ilikuwa ya kwanza kuzindua ule mpango wa double session (zamu za kuingia asubuhi na mchana) Baadhi ya waalimu walikuwa hawa:-

Mwl. Kisamo (H/ Master)
Mwl. Meja (Assitant H/M) baadaye alihamia Same Secondary
Mwl. Amos, baadaye alipelekwa Wizarani
Mama Semguruka (Nidhamu) Sikumbuki jiana sawasawa ila alikuwa teacher wa Kiswahili na alikuwa safi sana kwenye maonyo.
Mwl. Mashanga (aliongozaga mgomo wa kwanza wa Waalimu enzi za Mzee Ruksa)
Mwl. Bulemo

Baadhi ya Wachezaji maarufu wa Azania enzi hizo walikua:-
Robert Mwampemwa aka Vimvi (baada alikuja kuwa cartoonist mzuri kwenye magazeti, sijui yuko api sasa)
Sasi
Lucky
Cecil (huyu alikuwa full back left mnene lakini mwepesi sana)
Edward Mpandang'ong'o (Ball dancer)

Geofey Nyange (KAburu) M/ Mwenyekiti wa Simba pia alikuwepo wakati huo yuko A' level mimi niko O'Level.

Huyu Mwampembwa yuko juu anafanya kazi Nation ya Kenya anaendeleza kuchora Katuni kuna wakati alipata tuzo ya CNN.
Katika wachezaji umemsahau Jamaa anaitwa Hamisi, yeye bahati mbaya alifariki miaka ya mwishoni mwa 1999 / ama 2000 hivi alikuwa mchezaji wa hail ya juu.
Mpandang'on'go alikuwa mzuri pia. sijui yupo wapi siku hizi?
Wauza mihogo waliendelea kuwepo pale muda mrefu na wanakumbukumbu kweli nikipita pale wananisalimia ingawa sikuwa maarufu pale Azania. Vile vile wana "intergrate" vizuri kuna wakati kulitokea msiba katika familia ya Mwalimu mmoja pale, katika mazishi ( Kinondoni) niliwaona wakishiriki - miaka miwili mitatu iliyopita

Enzi zile wasichana wa Jangwani wakituita NATO ( No Action Talking Only)
 
Haya nyie wakina dogo , sie tulisoma Azania enzi za Joshua Mwambungu halafu akaja Bagenda na msaidizi wake marehemu Mnyamuru na meja alikuwepo pia enzi hizo!! Hakukuwa na wavuta bangi enzi zetu ; watu walikuwa wanapiga book tu ndio siri ya mafanikio yetu!!

Hata wewe Bulesi bado dogo saana. Sisi ndio vikongwe wakati Headmaster alikuwa Mr. K.R. Jones(British), halafu akaja Mr. Abdirahaman Mwalongo (mjalukolo) akafuatwa Joshua Mwambungu (mwanafiale).

Enzi hizo tulipiga kitabu kama vile hatuna akili nzuri na mitihani ya University of Cambridge kwa ajili ya Form 4 na 6 ilitukoma. Kwa taarifa yako Gavana/Professor Benno Ndulu ni product ya Azania enzi hizo. Vijana walikuwa hawachakachu vitabu bali walikuwa nyomi kwa sana.
 
Hata wewe Bulesi bado dogo saana. Sisi ndio vikongwe wakati Headmaster alikuwa Mr. K.R. Jones(British), halafu akaja Mr. Abdirahaman Mwalongo (mjalukolo) akafuatwa Joshua Mwambungu (mwanafiale).

Enzi hizo tulipiga kitabu kama vile hatuna akili nzuri na mitihani ya University of Cambridge kwa ajili ya Form 4 na 6 ilitukoma. Kwa taarifa yako Gavana/Professor Benno Ndulu ni product ya Azania enzi hizo. Vijana walikuwa hawachakachu vitabu bali walikuwa nyomi kwa sana.



I like this when I see the real people who made Azania the way it is cause without you guys there wouldnt be any respect in our school, that time every talented boy s dream was Azania.And not these days the boys are just competing in smoking Marijuana shameful
 
Zinja namkumbuka, F mlikua na makundi mawili mnapambana kweli mamluki na nimesahau lile jingine ( nafikiri wafarisayo not sure) wakina Spoiler, Kwame na yule monita wenu form 2 mlikua mnamtania kiuno, LOL. nakumbuka skonz za brake tukiwa tunaingia asubuhi si mchezo washkaji wa F walitokomea na skonz za darasa zima ilikua balaa, unamkumbuka yule mkorea alikuja kusoma azania ikawa balaa kila siku ilikua kukimbizana na kutoa kichapo? Goodluck alimchokoza siku moja basi ilikua balaa. Alafu kuna ticha mmoja tulikua tunamwita kicheche LOL. ila nilikua nampenda mwalimu isaya wa hesabu alikua makini sana. I really enjoyed Azania.[/QUOT
:lol::lol:MKUU umenichekesha na kunikumbusha mbali sana maana hizo skonzi ni mimi na Lunya wa upanga ndio tulitokomea nazo mamluki tulikuwa sisi tuliotoka 1G na 1F wafarisayo walikuwa ni wale walioanzia 1F Spoiler sina habari zake mkorea ilikuwa balaa na goodluck aka Mbulumundu sijui yuko wapi na tulikuwa na mchoraji mmoja anapeda sana kuchora picha za bob Marley naye nilisikia alienda states .Na hapo kwa mwalimu isaya wala hujakosea jamaa alikuwa mtaalamu na aliipenda kazi yake.Uko wapi ndugu yangu.
.
 
Zinja namkumbuka, F mlikua na makundi mawili mnapambana kweli mamluki na nimesahau lile jingine ( nafikiri wafarisayo not sure) wakina Spoiler, Kwame na yule monita wenu form 2 mlikua mnamtania kiuno, LOL. nakumbuka skonz za brake tukiwa tunaingia asubuhi si mchezo washkaji wa F walitokomea na skonz za darasa zima ilikua balaa, unamkumbuka yule mkorea alikuja kusoma azania ikawa balaa kila siku ilikua kukimbizana na kutoa kichapo? Goodluck alimchokoza siku moja basi ilikua balaa. Alafu kuna ticha mmoja tulikua tunamwita kicheche LOL. ila nilikua nampenda mwalimu isaya wa hesabu alikua makini sana. I really enjoyed Azania.[/QUOT
:lol::lol:MKUU umenichekesha na kunikumbusha mbali sana maana hizo skonzi ni mimi na Lunya wa upanga ndio tulitokomea nazo mamluki tulikuwa sisi tuliotoka 1G na 1F wafarisayo walikuwa ni wale walioanzia 1F Spoiler sina habari zake mkorea ilikuwa balaa na goodluck aka Mbulumundu sijui yuko wapi na tulikuwa na mchoraji mmoja anapeda sana kuchora picha za bob Marley naye nilisikia alienda states .Na hapo kwa mwalimu isaya wala hujakosea jamaa alikuwa mtaalamu na aliipenda kazi yake.Uko wapi ndugu yangu.
.

Nipo bongo nakimbizana na life, we wapi? Lunya namkumbuka, mi nilikua na kina Dickson, Frank Lyatuu,RIP. Mussa Sechonge, Kaseja, na bounser wetu Salanga. Jeremiah sijui yuko wapi sasa. Man it was fun when i think of it now. Mwalimu Moland wa english na yule wa chemistry alikua kituko kweli. Bila kumsahau Mapimpi wa Siasa enzi hile alikua anavuta fegi class alafu hana habari.
 
inasikitisha kuona aliyekuwa mvuta bangi na fegi darasani ... mpaka leo hii mnamsifia ... :confused2:
 
inasikitisha kuona aliyekuwa mvuta bangi na fegi darasani ... mpaka leo hii mnamsifia ... :confused2:



Mjomba wewe wa wapi lakini maana unarukia topic bila kuzielewa.Kule kwa wazanzibari umejidai kuchokoza umenikimbia sasa na huku tena na kwa taarifa tu huyu tunayemsema alikuwa mwalimu wetu na sio mwanafunzi kama unavyofikiri wewe na alikuwa havuti bangi elewa mjomba hapa watu unaoongea nao si kama unavyofikiria wale wa skuli ya kiembe samaki.Hapa ni vichwa makini toka Azania boys
 
Back
Top Bottom