Tujikumbushe wana Azania

 
Mazee mnanikumbusha Azaboy kuna siku moja kulikuwa na mkutano wa madent na mateacher khs library na maabara,akasimama denti mmoja simkumbuki jina Mchwampaka aka mruhusu,jamaa akaanza tuna library nzuri sana LKN VITABU VIMEACHWA VIMELIWA MCHWA........MPAKA sasa kuisema ile mchwa mpaaka ilisikika kama Mchwampaka...madent hapo wote lete vitabu vyetu weeeeeee...hapo ndo ukawa mwisho wa mkutano lkn kesho yake MCHWAMPAKA alimtafuta yule dogo acha...AZABOY for real..
 

Nadhani alikuwa anaitwa Bob Leo ,ni mwana harakati wa kitu kama haki za binadamu alisoma sheria nadhani baadae.
Jamaa alikuwa kiongozi fulani ,yah mwaka ule waziri wetu wastarehe alijiua tetesi kwa penzi la binti jangwani ilishangaza maana hatukuwa ma lover kivile.
 
Paka Mweusi, wewe ni ndugu yake Paka Jimmy? Karibu ukumbini!
 
Paka Mweusi, wewe ni ndugu yake Paka Jimmy? Karibu ukumbini!


A kuu mie Paka Jimmy wala thimjui Paka Mweuthi mie nilidhaliwa peke yangu.Nashukuru kunikaribisha ingawa nimeshafika na nimepata marafiki na maadui mwendo mdundo kama nnaria vile
 
Ona sasa unavopoteza!! wa pugu boys watasemaje!.. ?? BTW sirukii thread ni kawaida yangu kuchangia thread yoyote.
 

hahahaaaa wa zenji wanaita shule BANDA.
 
 

lol
 
Ona sasa unavopoteza!! wa pugu boys watasemaje!.. ?? BTW sirukii thread ni kawaida yangu kuchangia thread yoyote.

Mjomba kwani na wewe ni wa pugu boys mbona unawasemea si uwaache wajisemee wenyewe.Mbona unataka kutuletea shule za maporini wakati wewe ulisomea skuli ya Langoni.Na naomba unitajie kabila lako waweza kuwa mtani wangu ili nikutanie vizuri
 
Hivi kwa tanzania ni shule gani imeshawahi kutoa viongozi wengi wa nchi?..tathimini za haraka yaonekana Zamani pugu ndo ilikuwa shule special ...je azania kuna historia yoyote?..Kuna kipindi azania ilitisha kwa matokeo ya O level vijana walikuwa wanaweka mabanda mpaka mzuka..ila A level walikuwa kichochoro tu !!
 
Poa mwana ! enzi hizo Mchwampaka ! aliwakamata madogo wamewasha moto kiwanjani saa sita mchana wanaota! kumbe walikuwa wanakamua jani kiulaini walipomuona wakatupa vipisi kwenye moto!

:confused2:Hii ilikua kali sana, inaelekea alietoa ushauri wa kuwasha moto wa kuzugia mchana alikua keshabembea. LOL.
 

Sawasawa man, yale tulikua tunayaita matembe na tulienda kule kwenye shamba la minazi la Jangwani kukimbia wanoko ila tulikua tunapiga buku kama kawa kwa uhuru wetu. Mchwa sifa zake baada ya kutonywa na viranja wake wanoko akajipendekeza kibao kikamgeukia alitegemea watu wangemkimbia wakimwona. madafu ya Jangwani yalikua full limited.
 

Mwalimu Mosha alikuja kua mlevi kweli na mfanya biashara mzuri wa pamphlets, na huyo wa physics ni mwalimu John ana kamwili kadogo na funny kichwa machachari kwa mikwala na alikua anakufanyia kweli ukimletea uchale ila alikua na watu wake washkaji.
 

Uko mulemule mwana kuna yule mama alikua amejazia alifundisha kiswahili kwa muda flani, mpole kweli siku moja Moland alifumwa na mumewe mjeshi anaimbisha pale kwenye hall akaingia mitini, Isaya wa hesabu alikua makini sana, na yule mwalimu mchizi wa chemistry mlvi wa pombe chafu alikua na tuiton jumamosi ya sh 50 masaa mawili palepale azania, alikua anameno machafu kweli alafu anakuambia baada ya ile tuition akishakusanya chake anaenda kula romance na mpenzi wake. LOL.
 
Gamba, mimi namkumbuka Kicheche na Mzee, Meja. Wewe ulikuwepo enzi hizo?

Umenikumbusha Mzee Meja! Alale pema peponi!
Huyu Kicheche alishawahi kuturambisha F karibu darasa zima kwa kudharau test zake.
 
Hapo Mama Idi tu ndo umenikumbusha mbali,,mwalimu wangu wa geography huyo..
utamsikia kila mara "are we together on that?"
 
Nakumbuka nikiwa form 4 tulimpiga chabo patron Yengela akiwa anado......dah!Hostel hakukuwa na adabu hata kidogo.
 

Mwambie hyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…