Tujikumbushe wana Azania


Namkumbuka Nyau huyu alikua anafundisha Biology, kipindi hicho alitokea tambaza baada ya tambaza kufungwa kwa muda, kuna Robort huyu alikua anatukimbiza hadi muhimbili, kuna Ryoba alikua poa sana, tokyo namkumbuka sana alikua mshakaji kweli vipi mnaukumbuka mti mawazo pale nje ya hostel?
 

sasa hvi hakuna mademu mkuu
 

Hahahahahaaaaa
 
kwa wale tuliosoma juzijuzi mnamkumbuka mwalimu Chambala wa civics,mzee wa utani akifundisha civics usipocheka kwenye mifani yake bac wewe noumaa. naskia mchwa mpaka alifariki.
 
Azania of today Azania yesterdayyy,Azania,forever,we will always sayy,you are known far and wide you are always our Guide, We will never forget you. hicho ndo kipande cha wimbo wa shule.kuna watu walimaliza hawaujui wimbo wa shule na wengine walikua wanategeshea sehemu za kumalizia tu"We will never forget you" so funny moments
 

hahahahaaaa
 

Haha haha haaaa! umenikumbusha sana HATIBU _ "Nipe sababu kuu kumi zenye mantiki kwanini niiikuchape ukianza na neno kwakuwa" ilikuwa si mchezo, hapo mzee sababu hujachomekea kaa! hapo anaangalia kama anasinzia vile
 

nakumbuka enzi hizo akina dr. Sebastian ndege wanaimbisha
 
Haha haha haaaa! umenikumbusha sana HATIBU _ "Nipe sababu kuu kumi zenye mantiki kwanini niiikuchape ukianza na neno kwakuwa" ilikuwa si mchezo, hapo mzee sababu hujachomekea kaa! hapo anaangalia kama anasinzia vile

Hahahaaaaa
 
da mimnakumbuka enzi za mkongo, chavila na ticha fulan alikuwa aki2fundisha history hiv sijui nani vile ye alikuwa akiingia darasani vijana 2lkuwa 2 na a ngalia makalio 2 maana alikuwa ameumbika kidizain. na mwalimu fulan alikuwa akiitwa t makinge ni ticha fulun mfupi lakin anafundisha geography safi sana.hivi ngoziye yupo maana nakumbuka alikuwa mgonga lebel we2 yaan akikukuta huna lebel anakufoce upige lebel hata kwa mkopo
 

Hahahahahaaaa Ngozie head master now mkuu
 
Du naile short cut ya jangwani na tution gerezani kwa mtaalam
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…