Nilichotaka kuandika Mungu anisamehe tu kwa kweli.Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Andika tu. Mungu ameshakusamehe kwa kuwa amaeshaona mawazo yako.Nilichotaka kuandika Mungu anisamehe tu kwa kweli.
Hapana nitakuwa nakukosea na kuumiza hisia zako mkuu.Andika tu. Mungu ameshakusamehe kwa kuwa amaeshaona mawazo yako.
Andika tu mkuu.Hapana nitakuwa nakukosea na kuumiza hisia zako mkuu.
Bora shule aisee [emoji23][emoji23][emoji23]Mimi na pacha wangu tulikuwa hatutegi. Mama alikuwa mkali sana ukitega anakupeleka mwenyewe. Su unachagua upelekwe zahanati kwa aunty ukutane na sindano au uende shule.
Hapo utachagua nini?
Siwezi naheshimu watu wengine, na makwazo si kitu kizuri .Andika tu mkuu.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tangu niko secondary Mi nilikuaga naumwa tu mpaka walimu walijua mi ni muathirika. kilichokua kinanipa jeuri ni ile kadi ya Bima Hadi yule dada wa hospital reception akawa kanizoea akawa mchumba wangu,ananipa tu yale makaratasi, na hiyo tabia ikafika mpaka Chuo nikiona test hazieleweki au nimekosa quiz nawahi kuchukua sick sheet huyo hospitali naenda kukusanya makaratasi nikija nayo kama 6 ivi wanajua huyu kweli alikua ana kipindupindu au Manjano, Kibaya zaidi hii Tabia hadi kazini bado inaniandama sijui lini itaniacha
Babe umenichunia sana. Au kuna kitu nimekukoseaAndika tu mkuu.
OkaySiwezi naheshimu watu wengine, na makwazo si kitu kizuri .
Hapana bby maisha tuBabe umenichunia sana. Au kuna kitu nimekukosea
Kwenda kuzubaa juu ya maembe naMimi na pacha wangu tulikuwa hatutegi. Mama alikuwa mkali sana ukitega anakupeleka mwenyewe. Su unachagua upelekwe zahanati kwa aunty ukutane na sindano au uende shule.
Hapo utachagua nini?
Embu umsalimie huyo mremboBabe umenichunia sana. Au kuna kitu nimekukosea
Asante kwa kunielewa .Okay
Hahaha yani wewe jamaa life lako limekuwa tight hadi unatamani kuwa mtotoDhaaaaaaaa umenikumbusha mbali
Nkikumbuka kwalamahondo primary school yan Nataman tu miaka irud nyuma
Zawad ya jana nmetuma kwenyeHapana bby maisha tu
Nampika mistari naona ananikimbia kimbia. Sijui kwa vile ni kisu sanaEmbu umsalimie huyo mrembo
Ulisahau kutuma na namba ya mzigoZawad ya jana nmetuma kwenye
Dar lux bus Mzgua90
Usisahau kwenda kuchukua
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]