Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Nimepata salamu zako mkuuEmbu umsalimie huyo mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimepata salamu zako mkuuEmbu umsalimie huyo mrembo
Nani huyo??Nampika mistari naona ananikimbia kimbia. Sijui kwa vile ni kisu sana
Nitamvunja mguu ili aumwe vizuri sasaHahahaaa.. ngoja mwanao aje kukuiga
Mhhhh uliwezaje wezajeMimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nitamvunja mguu ili aumwe vizuri sasa
Nilikua napenda sana shule. Mimi shule kwanza mengine baadae.Mhhhh uliwezaje wezaje
Ukiwa mwl au ofisini utakua mnoko sana ukiwa unaona watu wanavyotembea na sicksheet karibia kila wiki au mtu anayeingia kila siku baada ya mstari mwekunduMimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Toka huko elementary hadi chuo? mmh shule zetu hizi hizi?Nilikua napenda sana shule. Mimi shule kwanza mengine baadae.
Nashukuru kama umezpokeaNimepata salamu zako mkuu
Oooh n k5467Ulisahau kutuma na namba ya mzigo
Wewe babeNani huyo??
Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Babe wajua siwez kukuwekea pozi eeeh.Wewe babe
Sawa ngoja nikimbie ubungoOooh n k5467
Eeeh.Toka huko elementary hadi chuo? mmh shule zetu hizi hizi?
Walaa. Ofisini mbona wala sio mnoko sema ukifanya kama inavyotakiwa wala sina shida na mtu. Ila O level nilikuaga kiongozi watu walikua hawanipendi hatari eti nilikua mnoko [emoji23][emoji23]Ukiwa mwl au ofisini utakua mnoko sana ukiwa unaona watu wanavyotembea na sicksheet karibia kila wiki au mtu anayeingia kila siku baada ya mstari mwekundu
Unaonesha ulikuwa muoga kichzi..Mimi siyo primary tuu hadi chuo kikuu nilikuwa siendi quiz ikitolewa naenda hospital kufoji cheti then nasema nilikuwa mgonjwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii tabia yangu kabisaaa kitambo mnoMI NAKUMBUKA NILIKUWA NAPENDA KUANGALIA UTABIRI WA HALI YA HEWA ILI NIJUE MVUA KAMA ITAKUWEPO
Hahaha we kama nshakujua hivMimi siyo primary tuu hadi chuo kikuu nilikuwa siendi quiz ikitolewa naenda hospital kufoji cheti then nasema nilikuwa mgonjwa.