Tujikumbushe wapenda kusingizia kuumwa na watoro shuleni

Tujikumbushe wapenda kusingizia kuumwa na watoro shuleni

Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Mhhhh uliwezaje wezaje
 
Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.
Ukiwa mwl au ofisini utakua mnoko sana ukiwa unaona watu wanavyotembea na sicksheet karibia kila wiki au mtu anayeingia kila siku baada ya mstari mwekundu
 
Mimi sikuwahi kudodge shule. Tena hata nikiumwa nikiambiwa nilale naumwa nalia kabisa nataka kwenda shule. Nilikua napenda sana kusoma. Chuo yenyewe sijawahi kuskip hata assignment maana hata nilale saa kumi na moja kama nina kipindi saa moja lazima niende.

Bravo!!
 
Ukiwa mwl au ofisini utakua mnoko sana ukiwa unaona watu wanavyotembea na sicksheet karibia kila wiki au mtu anayeingia kila siku baada ya mstari mwekundu
Walaa. Ofisini mbona wala sio mnoko sema ukifanya kama inavyotakiwa wala sina shida na mtu. Ila O level nilikuaga kiongozi watu walikua hawanipendi hatari eti nilikua mnoko [emoji23][emoji23]
 
Mimi siyo primary tuu hadi chuo kikuu nilikuwa siendi quiz ikitolewa naenda hospital kufoji cheti then nasema nilikuwa mgonjwa.
Hahaha we kama nshakujua hiv
 
Back
Top Bottom