BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Na hii ndio taarifa ya habari kutoka Redio Tanzania Dar es Salaam na msomaji ni David Wakati. Kwanza habari kwa ufupi. Rais Nyerere amemstaafisha kazi aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo nchini NDC ( hamna hii kitu siku hizi jamaa ni muoga ile mbaya!!! hajiamini hata kidogo hata mtu akivurunda vipi ataunda tume lakini yeye hahusiki!!!!? niliwahi kusikia katika mazungumzo ya wakubwa nyakati hizo huyu David Wakati alikuwa hasomi taarifa za habari mara kwa mara na siku alizokuwa akifanya hivyo basi ni lazima kulikuwa na habari nzito sana.