Naitwa king kong wa tatu nafanya kazi hapa kiwanda cha urafiki kama mlinzi salamu zangu za kwanza namtumia mod invisible,paw,maxence za pili namtumia member mwenzangu king kong feis buku bila kumsahau mwali na husninyo club raha leo shooooooooooooooow!
Benkiko na mbwembwe zake. na mama eda sanga.
habari wadau wa JF, sahau kuhusu TBC taifa ambayo imepoteza dira siku hizi, unakumbuka kitu gani iwe kuhusu watangazaji au vipindi vyao enzi hizo, redio tanzania (RTD) haina upinzani!
Michezo ya kuigiza ilikuwa: Wema Hauozi, Mkataa Pema Pabaya Panamwita, Mapenzi Kitovu cha Uzembe. Tulikuwa tunasikiliza, familia yote tukiwa pamoja na pengine hata majirani maana si kila familia ilikuwa na uwezo wa kumiliki redio. Michezo haikuleta ukakasi wa masikio, ilikuwa na maadili. Tulielimika na tuliburudishwa kupitia RTD. Rip RTD. Nitakukumbuka daima.
Majira...
Saa kumi na mbili na nusu asbh
Michezo ya kuigiza ilikuwa: Wema Hauozi, Mkataa Pema Pabaya Panamwita, Mapenzi Kitovu cha Uzembe. Tulikuwa tunasikiliza, familia yote tukiwa pamoja na pengine hata majirani maana si kila familia ilikuwa na uwezo wa kumiliki redio. Michezo haikuleta ukakasi wa masikio, ilikuwa na maadili. Tulielimika na tuliburudishwa kupitia RTD. Rip RTD. Nitakukumbuka daima.
Hivi kumbe Nyaisanga (babu wa kimanzichana) alishawahi kua rtd!
habari wadau wa JF, sahau kuhusu TBC taifa ambayo imepoteza dira siku hizi, unakumbuka kitu gani iwe kuhusu watangazaji au vipindi vyao enzi hizo, redio tanzania (RTD) haina upinzani!
Michezo ya kuigiza ilikuwa: Wema Hauozi, Mkataa Pema Pabaya Panamwita, Mapenzi Kitovu cha Uzembe. Tulikuwa tunasikiliza, familia yote tukiwa pamoja na pengine hata majirani maana si kila familia ilikuwa na uwezo wa kumiliki redio. Michezo haikuleta ukakasi wa masikio, ilikuwa na maadili. Tulielimika na tuliburudishwa kupitia RTD. Rip RTD. Nitakukumbuka daima.
....mwaka 93 kama sikosei... Gulamali akiwa Rahisi wa YANGA...
RTD ilitangaza final game ..Afrika Mashariki na Kati"... YANGA walishinda... Cant forget this...