Nikipindi cha pili cha pili hapa wao sifuri sisi moja na utamsikia tukifungwa timu ya taifa alikuwa hata hasemi goooooooooooo utasikia washatufunga. namna gani hapa jamaa alitakiwa kutumia hata ulimi kuweka ule mpira kimiani. Ahmedi Kampira na mpira lalalalalalalalalaaaaa ah namna gani Juma Mgunda anashindwa kuona milingoti mitatu hapa.
Kwenye maguu kumi nane ana weka mpira ule Edward Chumila na na simba wanafanya mabadiliko namuona kocha mchezaji anaingia hapa heeeee he Chumila kwa guu lake la kushoto anapiga mpira ule anaingiza majalo moja pale ile inaitwa banana chop gooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo a namna gani hapa mpira unagonga mtambaaaaa panya wasikilizaji ..................... nikikumbuka enzi hizo sipati jibu
Huyo alikuwa Ahmed Jongo.
Namkumbuka 1993, Yanga wametoka kutwaa ubingwa wa CECAFA, wakakutana na Simba.
Yanga wakapata bao la 2, Jongo anasema:
"Niliwambia kule Kampala, niliwambia kule Kampala,
Yanga si timu ya mchezo.
Ninachotaka kuwambia ni kwamba, Yanga wanapata bao la 2.
Said Mwamba Kizota anaifungia Yanga bao hapa"