Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV


Dah!
Gang Chomba, sikuelewielewi ati?
Au nawe ulikuwa mtangazaji?
 
Last edited by a moderator:

Mbona simuoni marehemu mzee wangu, Donati Kaishe?
Au mlikuwa hamjazaliwa wakati anatangaza?
 
Mbona simuoni marehemu mzee wangu, Donati Kaishe?
Au mlikuwa hamjazaliwa wakati anatangaza?

Enzi zipi hizo? za kina Sarah Dumba au Sango Kipozi...

Kuna wale wa Mwanzoni wa miaka ya 2002 huyu alikuwa jirani na maeneo ya City centre Josephine Liumba ''Machepele''
 
Tuanze na timu ya RTD...
1. Siwatu Luanda
2. Salama Mfamao
3. christina Chikonogela
4. Eda Sanga
5. Deborah Mwenda
6. Aloisia Maneno
7. Sango Kipozi
8. Sarah Dumba
9. Betty Mkwasa
10. Halima Kihemba
11.Aloisia Isabula

SUB...
Domitila Urassa, Shida Masamba, Rsemerry Mkangara, Nyambona Masamba, Thekla Gumbo, Faudhiat Ismail Abood
 


Clouds mavi matupu.
Nao waweke kikosi chao
 
hawa walikuwa magwij mfano hamna namkumbuka kipindi cha jungu kubwa kila jumamosi ilikuwa na mtangazaji moja maarufu.jina imenitoka kidogo
 
Blandina mungezi yupo British Council, Dar es salaam. Alikuwa na sauti nzuri sana yule dada.
 
Kuna tetesi kua Sunday Shomary alikua aki-share love na Monica Mfumia.
 
Mmenikumbusha mbali, hadi machozi yamenilengalenga. Nakumbuka jinsi redio zilivyokuwa zinakoroma ukiwa vijijini. Wakati mwingine inabidi iwekwe juu ya jiwe au mti ili kupata mawimbi ya sauti vizuri. Basi wakati wa taarifa ya habari, hata kama mlikuwa na mkutano wa kijiji inabidi usitishwe kwanza musikilize baba wa Taifa kasema nini siku hiyo. Jamani, tumetoka mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…