Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV


lidenge mkuu umemsahau wa aviacao
 
Salama Mfamao RIP
Aloysia Isabula
Aloysia Maneno
Peter Makorongo
Suleiman Kumchaya
Juma Ngondae RIP
Mshindo Mkeyenge
Abdallah Mlawa
Siwatu Luanda RIP
Salim Mbonde
Omary Masoud RIP
Pascal Mayalla
Adam Mwaibabile
etc....
 

Omary Jongo na Hilary, uwanja wa taifa!
 

Unakumbuka tangazo la baiskeli za shangshein? ".......Anashangiliwa na umati wa watu....."
 
kwenye mwaka 2010 Anko J aljkuwa anatangaza Abood tv. Morogoro. kwasasa sipo moro so sijajua kama bado yupo hapo au tena amehama
 
Tangazo lingine ni WATOTO HAWA BWANA,....... KULA WANAKULA, KUVAA WANAVAA LAKINI MMMMMMMMHHHHHH
Tangazo la sabuni MSHINDI. SABUNI KOMOA. NA MBUNI. BILA KULISAHAU TANGAZO LA KIBUKU OYEE, KIBUKU HONGERA HONGERA
 
Tangazo lingine ni WATOTO HAWA BWANA,....... KULA WANAKULA, KUVAA WANAVAA LAKINI MMMMMMMMHHHHHH
Tangazo la sabuni MSHINDI. SABUNI KOMOA. NA MBUNI. BILA KULISAHAU TANGAZO LA KIBUKU OYEE, KIBUKU HONGERA HONGERA

.....na matangazo ya dawa
 
masoooouuud masoouud wakuu msisahau na Tido mhando
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, Datsan Tido Mhando alitangaza kwa ufundi mkubwa sana game ya fainali ya Kombe la Afrika mwaka 92 kati ya Ghana na Ivory Coast. Ilikuwa fainali ya aina yake kwani dakika 120 hazikutoa mshindi na hadi penati 11/11 hakuna mshindi. Ni fainali ya kihistoria sana katika kombe la Afrika kwa kweli na ilinibidi nitafute sababu za kuchelewa kurejea shule(Boarding) ili kumalizia fainal hizi mwezi Januari (kama niko sahihi). Ilikuwa kuliko TV; Anakwenda kupiga Aka, kama utakumbuka vizuri ndugu msikilizaji huyu ndiye aliyepiga penati ya kwanza ya Ivory Coast, hebu tusikilize-Gooooooooooooooooooo...Sasa ni zamu ya Ghana, anakosaaaa!!!!!!! Ivory Coast wanatawazwa mabingwa wapya wa Afrika ikiwa ni kwa mara ya kwanza.
 
Umemsahau EZEKIEL MALONGO mpira upo katikati ya uwanja yy ansema gooooooooooooooolkick

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Tangazo la "ubwabwa huu, unanikumbusha mbali sana masikini, mawka 47..."

Daa! hivi yule mama aliyeigiza na mzee Kipara hilo tangazo alikuwa anaitwa nani? "si useme tu CRDB wamekuja kuchukua lory lao"
 
Tangazo la kiwi la Hebu jitokeeze simamaaa imaraaa mbele ya watuuuu!! Hapa sasa inafata Rap! Nakwenda kupata mng'aro wa kipekee na ni mng'aro wa ajabuu niko njiani nimeupata hakika humeremetaa, humeremeta kwa kiwii na hung'ara kwa kiwi! Na tangazo la revola lile la Revolaaaa Revolaaa revolaaaa kwa sauti za kivampire lishawahi kunishtua usingizini nilikuwa naota nilitoka mbio nikidhani wachawi kumbe tangazo la revola kwa kweli sijasahau hiyo siku hadi leo mdau unanikumbusha RTD
 
Enzi hizo mpira kina Abuubakar Lyongo na Charles Hilary na wadhamini sabuni ya komoa na wimbo wao wa nipeni maji nifue eheee na sabuni ya komoaaa ahhhh, ahahaaaa ahaaa ahahaaaa na Abood na mwimbo wao wa Abood bus service Abood bus service ulioimbwa na Varda Arts ile bendi ya wahindi sijui hata if its still existing na Dawanol na wimbo wao wa ukionaaa maumivuuu maumivu teleee dawa ya maumivu dawa yenye nguvu dawa ni dawanooool. Duh looong tym thanx mdau kutukumbusha
 
Watangazaji wa zamani saana ni kama. NASSOR NSEKELI, HAWA MALIPULA. MOHAMED NGAYONGA, RASHID SEIF NASSOR, MSHINDO MKEYENGE, JUMA NGONDAE NA WAKATI HUO FUNDI MITAMBO NI NOEL NAMALOWE, JACOB AYIMBA NK
 
  • ATC Hewaniiiiiiiiiii!
  • NASACOoooooo!
  • Utumie Kibukuu, ndio pombe bora! Tumia,kibuku.......Hapo mnasubiri vitu vya mzee Jangara!
  • Malima Ndelema;Mkoa kwa Mkoa mida ya (saa nne au tano asubuhi) nilikuwa natoroka shule ili nisikilize hiki kipindi na kwa kweli kilichangia sana kuiweza jiografia na historia kwa shule za msingi!
  • Hii ni Kwaresma (mida ya saa nne usiku).
 
Yuko radio abood. Morogoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…