Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

bro.pascal ABDALLAH MLAWA tunae ?
 

Thanks man! But until then,we still have the mountains to climb,mkuu pascal unapozungumzia siasa za UNAFIKI unakuwa umesimama kwenye jukwaa lipi hasa?kwa sababu kwa Tanzania hii na siasa zake,ukiondoa unafiki utakuwa umeiondoa siasa yenyewe,so is news industry,so is religious institutions,SO IS TANZANIANS,una mengi ya kutufunda brother,usipokuwa----ukiamua kuwa mkweli, hii mada ni tamu mno,japo ina huzunu ndani yake!!tusiipotoe.
 
Last edited by a moderator:
bila ya kuwasahau ALLY SAID TUNKU NA NOEL MALOE
 
ABDUL OMAR MASUDI alikua mahiri ktk kipindi cha michezo cha saa 2 kasorobo usiku
 
 

Kimsingi unakubaliana na hoja ya Mwanjelwa? Ebu tuelezee, huyu Salama Mfamao alikuwa kama yeye, uhusiano na wafanyakazi kikazi na mvuto? Tunashukuru sana kwa ufafanuzi wa issues amabazo kila mmoja anapenda jua
 
 
 
 
Kimsingi unakubaliana na hoja ya Mwanjelwa? Ebu tuelezee, huyu Salama Mfamao alikuwa kama yeye, uhusiano na wafanyakazi kikazi na mvuto? Tunashukuru sana kwa ufafanuzi wa issues amabazo kila mmoja anapenda jua
Mkuu Salama Mfamao rip alikua dada mpole aliepatana na kila mtu hivyo vingine sifahamu na kimvuto hakuwa anavutia vile alikua wa kawaida tu ,ila sasa best wake Siwatu Luanda rip huyo ndo alikua balaa alivutia sana kutokana na umbo lake ww acha tuu kwa mwanaume mzima ukipishana nae kwenye corridor lazima ugeuze kichwa kutaka kuangalia kulikoni mzigo mkubwa hivyo LOL..natumaini nimekujibu swali lako kabla ya Pascal hajaingia humu.
 
Hivi Deborah Mwenda ndie yule wa aliyerusha kipindi cha UA JEKUNDU? Nakumbuka wakati kipindi hicho kinarushwa hata watu wazima walikuwa wanajikusanya kusikiliza kipindi cha watoto!

Naam ndiye yeye mwenyewe mkuu, zilikuwepo hadithi nyngi tu mathalani Mbalamwezi Nyota Begani, Binti Chura, Ua Jekundu n.k
 
Nahisi una maanisha Salama Mfamao? Nimepitia thread yote hakuna mahala mtu kamtaja kama kumbukumbu. Mungu amlaze mahala pema peponi
Salama Nilimuita Dada, alitukaribisha hadi home kwake, kila nikiusikia wimbo wa Ousmane Bakayoko, namkumbuka Salama. Ni yeye aliutafsiri wimbo huo hewani tangu hapo kila ukipigwa namkumbuka!. Baada ya msiba, nilimtayarishia kipindi maalum na kumchezea wimbo wa "Salama" wa Marijan Rajabu!. Kiukweli alikuwa ni mwema sana na pia nilimwekea wimbo Vicky wa Vijana Jazz usemao "Nimeamini yanasosemwa na watu, wanaopendwa na wengi, hufa wangali vijana!".
Pascal.
 

Mkuu wewe ndo Yule Pascal Mayalla alikuwa mtangazaji kule DTV miaka ya 1990s?
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…