DISGUISE16
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 372
- 260
Aisee mpaka mie najiona dogo dahKumbe wazee huku JF tuko wengi!
Mi nakumbuka nilikua ndo mtoto so kutumwa mara dukani mara kanunue mkaa mara nenda kwa flan.... Pia wakubwa walikua wananichukua natoka nao ili wapate gia ya kwenda kuonana na wapenzi wao [emoji28] [emoji28] [emoji28] eti mzazi asiwafikirie vibaya mi mdogo Naenda nao hahahaa hahahahahaahNinatizama dirishani ohoo, naona ni mvua inanyesha oho hakuna kilichobakia oho ila ni huzuni na uchungu ehe, mwingine ni Asha usifate mambo ya dunia asha wewe kumbuka wemaaa Tabora jazz. Tulikuwa tunakacha Math siku nyingine na physics ili kusikia vigongo hivyo. Mhu.
Mdogo wangu wa kiume aliipata, kila nikienda likizo yeye ndo bodyguard wangu ili baba asinikatalie.Mi nakumbuka nilikua ndo mtoto so kutumwa mara dukani mara kanunue mkaa mara nenda kwa flan.... Pia wakubwa walikua wananichukua natoka nao ili wapate gia ya kwenda kuonana na wapenzi wao [emoji28] [emoji28] [emoji28] eti mzazi asiwafikirie vibaya mi mdogo Naenda nao hahahaa hahahahahaah
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mdogo wangu wa kiume aliipata, kila nikienda likizo yeye ndo bodyguard wangu ili baba asinikatalie.
Enzi zile bila kuwa B...... hatari.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
David Wakati1.Halima mchuka.
2.Ezekiel marongo.
Kumbe wewe pia unazijua hizi.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]David Wakati
Hivi mama debora mwenda wa kipindi cha mama na mwana alishakufa au?? Nlikua sibanduki redioni kila jpili saa 8 mchana kusikiliza kipindi cha mama na mwana hadithi za kina adili na nduguzeMama na mwana kila j2 saa 8 mchana. Mazungumzo baada ya habari kila baada ya taarifa ya habari ya saa1 asubuhi na saa2 usiku
Hadithi zake kama mfalme binti chura, ua jekundu.. Yaani ilikua as if unaangalia filamuHivi mama debora mwenda wa kipindi cha mama na mwana alishakufa au?? Nlikua sibanduki redioni kila jmos saa 8 mchana kusikiliza kipindi cha mama na mwana hadithi za kina adili na nduguze
Hatari sana, hadithi zilikuwa zinasisimua na kujenga hofu kubwa kwa watoto!Hadithi zake kama mfalme binti chura, ua jekundu.. Yaani ilikua as if unaangalia filamu
Are they real best days?