Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Umetisha
 
Heri yako wewe ulikuwa na option ya cassette, sisi ilikuwa only Radio basi, nakumbuka kitu kikubwa brand ya "National Panasonic". Iwapo hupendi kipindi/ program fulani option ilikuwa ni kuchagua KBC Nairobi, na huko KBC ulikuwa unaombea usikutane na ile miziki yao ya "kanindo"
 
Nyie mlikuwa watish mna cassete? Nilikuja kuiona baba mdogo alikuwa mwalimu alipoinunua lakini hiyo ilikuwa tape recorder anaenda anarecord watu kwenye bar. Sisi ni redio tu ila tuliona tumewini sana.
 
Mzee mbona hapo kwenye Juma haisomeki ni Juma gani huyo?
 
mazungumzo baada ya habari
kiipindi cha wagonjwa, ujumbe wa leo n.k kwa kuwa RTD ilikuwa pekee basi wanasiasa wa wakati ule walineemeka na kutukuka sana. Ni kipindi CCM ilijijenga kwa watu wote kwa mikutano yao, nyimbo za kina Komba, hotuba za viongozi n.k
Watangazajji waliotajwa ongeza na Kina Jacob Tesha kwa kusoma habari.
Mshindo Mkeyenge na Ahmedi Jongo muruwa kwenye matangazo ya mpira.
 
Mzee mbona hapo kwenye Juma haisomeki ni Juma gani huyo?
wanafuta hawa mods ni yule wa Moro Juma kilaza najua watafuta tena. Yule mzee aliyeimba "Njoo tucheze rumba rumba michangani aaaaaa rumba michanganiii" Hivi hakuwa mwanzilishi wa Cuban marimba kweli??? Wa moro. Jina wanalibana sababu ni sawa na wale alosema baba J. kuwa walifukuzwa. Weka singular badala ya wingi.
 
Juma nani mbona sikuelewi?
 
  • Jamani external service na Legandary Edda Sanga, ilikuwa burudani

  • Watangazaji wa kike na sauti murua, thank God wengine bado wapo: Alacia Maneno, Christine Chokunegela, Betty Chalamila n.k

  • Julius Nyaisanga (RIP) wakati anaripoti sherehe mbalimbali utapenda
  • Misakato
  • Mazungumzo baada ya habari
 
Wawapeleke wacheza pool sasa tuone au wale wa mbukwenyi kwenye mataa.
Wacheza pool walichanganyikiwa JPM alipowabia wakuu wa Mikoa wahakikishe pool hazichezwi mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…