lnspector CP
Member
- Apr 28, 2016
- 76
- 30
Ezekiel Malongo mwenye saut ya pooz na yapekee kwa kutangaza mpira ni hatar pia bila ya kumsaha Halima Mchuka mwanamama wa kwanza kutangaza mpiraWakuu hebu tukumbushane enzi zile za Radio Tanzania, enzi ambazo Radio ndio ilikuwa kila kitu katika suala zima la kupata habari. Tukumbushane watangazaji mahiri wa enzi zile, vipindi vizuri pamoja na vituko mbalimbali ambavyo huwezi kuvisahau enzi za RTD.
Karibuni...
Juma special diploma AKA K.i.l.a.z.aJuma K.... ndo nani?
Juma Kilazawanafuta hawa mods ni yule wa Moro Juma ****** najua watafuta tena. Yule mzee aliyeimba "Njoo tucheze rumba rumba michangani aaaaaa rumba michanganiii" Hivi hakuwa mwanzilishi wa Cuban marimba kweli??? Wa moro. Jina wanalibana sababu ni sawa na wale alosema baba J. kuwa walifukuzwa. Weka singular badala ya wingi.
Mods hakuna haja ya ku- sensor jina la mtu. Lile lilikuwa ni jina halisi la Juma , sasa mnalificha kwa sababu zipi?Juma ******
Ninayo ile tune ila sijui jinsi ya kuipost hapa jf nipe namba yako nikutumie kwa whatsapp uiweke hapa jf ili wadau wengine nao wakumbukieSaa mbili kasoro robo Michezo nilikuwa nikisikia tone ile back in 70's wow
Mbona katika wanamuziki wa Morogoro hakuna hilo jina la Juma K.i.l.a.z.a.anamaanisha Juma K.i.l.a.z.a
Kwani huyo Juma wa enzi hizo aliwahi kusoma special diploma?Juma special diploma AKA K.i.l.a.z.a
Hakusoma ila alibwagwa vibaya sana na mbaraka mwishehe[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwani huyo Juma wa enzi hizo aliwahi kusoma special diploma?
Kwa hiyo anaitwa Juma nani?Hakusoma ila alibwagwa vibaya sana na mbaraka mwishehe[emoji23] [emoji23] [emoji23]
KILAZAKwa hiyo anaitwa Juma nani?
Hivi bonzo pia pia alikuwa moro jazz vile?Mbona katika wanamuziki wa Morogoro hakuna hilo jina la Juma K.i.l.a.z.a.
I see, amazing ntakuPMNinayo ile tune ila sijui jinsi ya kuipost hapa jf nipe namba yako nikutumie kwa whatsapp uiweke hapa jf ili wadau wengine nao wakumbukie