wa hapa hapa
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 285
- 150
Nikitangaza kutoka tabora Mimi no Ben kikowa rrrrrrrrrrrrrrrrrredio tanzzzzaniaaaa.
Dah tulikuwa tunapenda sana kusikiliza RTD, kipindi cha Majira cha saa 3 usiku na 12 asubuhi.Tena cha saa 12 asubuhi ndo ulikuwa muda wa kujiandaa kwenda shuleni.