Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sijakosea ni Juma KilazaHata nikikujibu hutaweza kusoma inafutwa. Wewe kama uliishi tangu sixtees na seventees unawajua nguri gani wa muziki wa moro? Yule mzee kabla ya Mbaraka mwinshehe aliitwaje? Kama humjui basi wewe mdogo. Je waliofukuzwa Dom JPM aliwaitaje? sasa ukijua hapo badilisha badala ya kuwa wengi weka mmoja ndo jina la huyo mwana mziki. Ongea na mods waulize kwani lugha ina ukomo?
Jamani wazee wenzngu munamkumbuka Ben Kiko?
Saana
Ben Kiko alifariki mwaka juzi nadhani...
Daaah namkumbuka kumbe alifariki maskini
Si unaona hata mimi hatokezi.Kama sijakosea ni Juma ******
Au Juma Mrisho wa Urafiki Jazz BandSi unaona hata mimi hatokezi.
Hiyo hadithi hata mimi niliwahi kuisikiaJamani, sina uhakika naweza kukosolewa, maana enzi hizo sikuwa na access ama control ya radio - kila kitu kuhusu radio kilikuwa chini ya mzee,
Inasemekana jamaa (Ben Kiko) alikuwa reporter kwenye vita ya Kagera (alikuwa uwanja wa mapambano/ mstari wa mbele), bahati mbaya jeshi letu lilipata dhahama kwamba tulikuwa tunashambuliwa adui - jamaa alisikika akisema "ndg zangu tunashambuliwa hapa, tunapigwa jamani......" na maneno kama hayo. Kuona hivyo jamaa aliondolewa front na kurudishwa Tabora.
Ngoja tusubiri wa zamani zaidi wanaweza kutujuza.Hiyo hadithi hata mimi niliwahi kuisikia
We wangu nikimweka harudi. Naona gavana zimeanza kukaza hata hapa JF. Kuna mtu kasema tuanze mgomo naye kaonja yangu. Vipi tuungane tugome????Au Juma Mrisho wa Urafiki Jazz Band
Mie simjui huyo Juma. Anaitwa Juma nani?Hata nikikujibu hutaweza kusoma inafutwa. Wewe kama uliishi tangu sixtees na seventees unawajua nguri gani wa muziki wa moro? Yule mzee kabla ya Mbaraka mwinshehe aliitwaje? Kama humjui basi wewe mdogo. Je waliofukuzwa Dom JPM aliwaitaje? sasa ukijua hapo badilisha badala ya kuwa wengi weka mmoja ndo jina la huyo mwana mziki. Ongea na mods waulize kwani lugha ina ukomo?
Taja waimbaji wote wa moro toka sixtees up to seventees kwama wewe ni wa longi.Mie simjui huyo Juma. Anaitwa Juma nani?
Mimi siwafahamu ila naomba mnitajie huyo Bwana Juma. Anaitwa Juma nani?Taja waimbaji wote wa moro toka sixtees up to seventees kwama wewe ni wa longi.
Ben baada ya Tabora alikaa sana Dodoma. Alijenga na kuishi hapo hata baada ya kuretire. Ben ninachokikumbuka sana ni yeye kuugua kipindu pindu mwaka 1989. Alilazwa kwenye kambi ya kipindu pindu na alisema kosa ni kula samaki wa kukaanga wabaridi. Kumbuka miaka ya kata mbuga Arusha to Moshi. Alitangaza majira kuhusu watu wa Dodoma kukata mabomba na kutengeneza hereni na bangiri. Ukiona Bangiriiii nyeusi na hereniii zake ujue ni mabomba ya majiiii Dodomaaaa!!!!!!!!!!!Hiyo hadithi hata mimi niliwahi kuisikia
Mimi siwafahamu ila naomba mnitajie huyo Bwana Juma. Anaitwa Juma nani?
Hakuna Mwanamuziki anaeittwa Juma Kilaz.aAnaitwa Juma Kilaz.a