Nakumbuka mengi tu, jambooo, tuimbe sote, mwanamziki wetu, misakato, mkoa kwa mkoa, pole kwa kazi, mchana mwema, ombi lako, jioni njema, sukitaa, ATC hewani, mahokaa, mama na mwana, mchezo wa redio wa kina mzee jongo na jangala na vingine kibao. Watangazaji mahiri kama siwatu Luanda (RIP), abdallah ngalawa, Michael Katembo, David Wakati, Budyaga Izengo Kadago, somebody Aswile huyu alikuwa mke wa mchezaji wa Yanga Godwin Aswile bila kuwasahau wawakilishi wa mikoani Adisai Steven, Ben kiko, Dominic Chilambo, ilikuwa raha sana siku hizo