CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 933
Ni burudani tuu dogo!Tatizo liko wapi kukiwa na vitoto au vikubwa vingi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni burudani tuu dogo!Tatizo liko wapi kukiwa na vitoto au vikubwa vingi??
Kha!kumbe ulifunguka masikio mapema ehe?Mchezo wa radio wenye maadili ya kutosha saa 2:30 usiku kama sikosei hivi!
TWENDE NA WAKATI mixer ka mdundo fulani hivi nduuu! nduuuu! nduuu!
nilikuwa skai mbali na radio ya mkuliwa
NATIONAL!
Kwa upande wa vipindi nilipenda sana Chaguo la msikilizaji j3 hadi ij sa8 mchana, mama na mwana j1 sa9 alasiri, Salaam za wagonjwa j2 sa4 asubuhi, Igizo la Twende na wakati wakiwemo kina Kidawa j4 sa3 usiku.
Kha!kumbe ulifunguka masikio mapema ehe?
Maana mpaka akina mzee mundu unawajua na jangala unaqajua?au umehadithiwa nn?
sasa hapo kwenye chaguo la msikilizaj ndo umegonga kwenye moyo
sasa kipindi hicho mi nilikuwa mdogo darasani tunaingia saa nane kamili
so nilikuwa tagea nikiumwa tu! Saa nane nakuwa mzima ua waalimu utasikiwa wameenda wizarani kikao/kuchukua mishaara! Bas naaribu kanda za dingi kwa kurekodi! Alafu wimbo wa Awilo Longomba haukos kweny hicho kipind
eei! Eei! Eeeei! Aaaaawilo longombaa! Wee tu!
Mama na Mwana...
Namkumbuka mzee Dominic Chilambo ,RIP huyu alikua anatangaza kipindi cha Ngoma za asili ,
Namkumbuka Julius Nyaisanga na kipindi chake Cha Muziki kilikua kinaanza saa 4 hivi
Mama na mwana enzi hizo bila kusahau chei chei shangazi na maneno hayo!kweli RTD ni kiboko
Kumbe nawe ulikuwepo enzi za cheichei shangazi studio akiwemo mwanamama ELISIA ISABURA. Aisee kitambo sana.
Mnaikumbuka 'mikingamo', 'club raha leo show' pia mchezo wa kuigiza wa kiinua mgongo ukichezwa na mzee jangala kikidhaminiwa na dar brew watengenezaji wa pombe safi kibuku (enzi hizo lkn)