Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu nlikutana naye kwenye msiba wa mzee mwakangale pale mikocheni/opp na jkt mlalakuwaRehema Mwakangale
Kulikuwa na huyu Khadija Said mdada mwenye sauti nzuri sana, alikuwa akitangaza kipindi ca lala salama kama sijakosea, lazima utalala tu kutokana na kubembelezwa na sauti yake nyororo.kama sikosei yule mama alikuwa anaitwa deborah mwenda,yaani acha bwana zile ndio zilikuwa enzi za utangazaji,kwa tuliokuwa watoto kipindi kile kukosa kipindi cha mama na mwana ilikuwa kosa kubwa!
Nadhani Lumumba mwalimu wao huenda Wassira.Kwani Hawa Watangazaj Wasasa Wenye Ukakasi Wa Maneno Wanasomea Wapi? Na Hawa Wazamani Walisomeaga Wapi?