Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Levoraaa levoraaaa levoraaaa levoraaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahokaaaaa We mama mbavu zangu weeee we mama mbavu zangu weeee we mama mbavu zangu weee ha ha ha haaaaaaaaaa! Duh noma hapo jumapili napiga pasi uniform kwa ajili ya jumatatu pasi ni ya mkaa kama ya dobi mara mkaa au jivu linadondokea kwenye shati jeupe unaanza kufua kola upya enzi hizo electric iron ni luxurious item!
yupo radio abood morogoroHalima Mchuka, Hassan Mkumbya hawa walishafariki.
David Wakati,
Hvi Julius Nyaisanga yuko wapi jama?
kipaji chake kakimalizia wapi...
Kiukweli wakati ule RTD ilifanyakaz sana. Kulikuwa na Idhaa ya Taifa na Idhaa ya Biashara yaani had raha. Baadae ikaja Idhaa ya Taifa na Idhaa ya nje(External Services) pale EPZA kwa sasa. Baadae ikaja RTD ya kawaida na Powerful Realistic Trustworthy(PRT).Ndipo baada ya Tido Mhando alivyostaafu BBC akaunganisha TVT na radio za RTD yaani RTD na PRT pamoja na TVT KUUNDATBC
Umemshau,Salama Mpamao,si mbaya nikiwataja na hawa,Mzee Jangala,Kiatu,Tomato,Mshamu,Igunanilo,Mzee Mundu na wengineo ongezea.
Mahokaaaaa We mama mbavu zangu weeee we mama mbavu zangu weeee we mama mbavu zangu weee ha ha ha haaaaaaaaaa! Duh noma hapo jumapili napiga pasi uniform kwa ajili ya jumatatu pasi ni ya mkaa kama ya dobi mara mkaa au jivu linadondokea kwenye shati jeupe unaanza kufua kola upya enzi hizo electric iron ni luxurious item!
Kitu RTD bana duh!
Kipindi hicho mkoa unaisikiliza mitaa ya Dar kupitia salam za asubuhi, nayakumbuka maeneo niliyokuwa najiuliza yakoje yakoje na nilikuwa na hamu ya kuyaona kama Magomeni Mapipa, Buguruni Malapa, Manzese kwa Mfuga Mbwa, Kiwalani etc.
Kulikuwa na kipindi cha ngano za mziki sikumbuki ni nani alikuwa anakitangaza, stori inatungwa kwa mziki mwanzo mwisho hafu mi najua kweli walioimba ni wale wahusika wa stori.
Naukumbuka wimbo wa kipindi cha Jumapili cha salamu za wagonjwa:-
Wakati umewadia wa salamu za wagonjwa hospitalini leo tunawapa pole,
Ajuaye bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salama leo tunawapa pole,
...