Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Ngoja mpigwe nyie CCM tena mwaka huu kuna uchaguzi kikokotoo kiwe 5%serikali inunue v8 za kutosha na misafara ya makonda iwe na magari 3,000.
Za ndani ndani pesa zimechotwa kwa ajili ya uchaguzi kuna watumishi wa afya huko Shinyanga wameambiwa kweupe.

Malipo yao ya extra duty hayapo kwa vile pesa zimechotwa kwa ajili ya uchaguzi, hapo mkurugenzi alikabwa sana mpaka kaona aseme ukweli ...Yeye hana kosa maana anapokea maelezo kutoka juu.

Ebu angalia siasa wanatumia pesa kibao ila wanajua wataiba tu kura ,kuna haja gani ya uchaguzi!?
 
Acha uongo, mfano ma prof vyuoni walipata mpaka mil 30 tu. Kwa ufupi kila mfuko ulikuwa na fomula yake, ila kwa sasa inatoa fursa sawa. Nimemtukana kwa sababu ni mjinga anapotosha watu. Kikokotoo cha sasa kinamuwezesha mstaafu kuishi bila wasiwasi kwa sababu monthly pension ni kubwa na mstaafu akiiwekeza vizuri lumpsum kwenye miradi mbali mbali inamlipa vizuri hata kama ikitokea lumpsum imeisha anaweza kuishi vizuri. Mleta maada aacha uzuzu
Wewe hujui kitu. Subiri Wazazi wako Wastaafu ndiyo utajua Ubaya WA Kikokotoo 😭😭😭😭
 
Serikali walifanya hivyo kwa sababu wanajua maisha ya wafanyakazi wao , baada ya kustahafu ni wachache wanaotoboa miaka 12 baada ya hapo wanabaki na pesa

Eti "akipewa hela zote atatapeliwa au kuzitumbua hadi ziishe" kwani hao wabunge na wezi wengine wenyewe hawawezi kutapeliwa au kuzitumbua na warudi kua maskini 🤔🤔 yani mtu anajikaza miaka zaidi ya 20 kupambana kufanya kazi mnajidai kumtunzia pesa zake alafu anakuja kusalitiwa na kutapeliwa na serikali yake mwenyewe 🤔🤔 serikali inacho wafanyia hawa wazee ndio maana wanakufa mapema mpeni mtu pesa yake akimaliza na kua maskini ni yeye ametaka hana wakumlaumu
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Makonda anasemaje?
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.

ni ujinga uliyopitiliza kwamba umpe 33% ( sijui nikigezo gani kilitumika tunga ujinga huu) ,
akitokea mgombea wa upinzania akaondoa upuuzi huu nitahakikisha anapita kwa kishindo.
inabidi wafanyakazi nchi nzima tuandamane kupinga ujinga huu.

mtu una stafu at 60 years .tiari utakuwa na magonjwa ya hapa na pale kama kisukari ,presha nk.Hela umejiwekea mwenyewe then mtu from no where anakupangia matumizi yake.waafrica tumelaniwa kwa kweli.

japo mimi ni mwana ccm ,kwa ujinga huu inabidi CCM itoke madarakani.

la pili ni hili la kuwalazimisha wastafu at 60 years ,wakati wastani wa maisha ya mtanzania hapa duniani ni miaka 66.kwa maana hiyo mtu anastafu na huku amechoka ile mbaya.

The current life expectancy for Tanzania in 2024 is 66.67 years, a 0.42% increase from 2023. The life expectancy for Tanzania in 2023 was 66.39 years, a 0.47% increase from 2022. The life expectancy for Tanzania in 2022 was 66.08 years, a 0.47% increase from 2021.
 
Naomba kujua, hii wanayopewa kila mwisho wa mwezi kama sehemu ya 67% yao iliyobaki,
Inahusiana na ile 50%( Nusu ya mshahara aliokua anapata kipindi yupo kazini) anayoipata kila mwezi?
 
Halafu TUCTA wasivyo hata na chembe ya aibu wanasema Wafanyakazi eti mameridhia uwepo wa hicho kikokotoo! Na wakati wastaafu wengi wanalalamikia huo wizi na uonevu wa wazi kabisa.
Pamoja na dhulma zote hizi dhidi ya wastaafu ambao walikuwa wafanyakazi wa umma, TUCTA siku zote wako mstari wa mbele kwenye maandamano ya sherehe za Mei mosi. Only in Tanzania! Shame on you tucta and other trade unions in Tanzania.
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Huna akili wewe.....Kichwa kimejaa uharo
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Hebu tupe mfano wa mwalimu tuone majibu yako, ili tuone vizuri mjinga nani.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu 🤭)
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu 🤭) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu 🤭)

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Je mstaafu wa ngazi ya chini asipofariki baada ya miaka 12 anapata nini? Kitu kikubwa waastafu wangedai kuwekewa kikokotoo kinachotizama mfumoko wa bei za vitu (" inflation"). Kama hujawahi kufanya biashara au kukamata pesa mingi, ni vizuri uichukue kidogo kidogo huku siku zinaenda. Watu siku hizi wanaishi maisha marefu miaka 75 au 80 ni kitu cha kawaida sana.
 
ni kweli kwamba wastafu wengi wakipewa hela wanazitumia vibaya aidha kwa sababu hawakupewa elimu tosha ya matumizi ya fedha ya kustafu.sasa kwa mfano ikatungwa sheria kUwa ,hela za kustafu ziwekwe directly kwenye bank za kibiasha ambazo zinatoa gawio kila mwezi ,si itakuwa nafuu kuliko hiyo pesheni ya kila mwezi anayopewa mstafu ?
 
Serikali walifanya hivyo kwa sababu wanajua maisha ya wafanyakazi wao , baada ya kustahafu ni wachache wanaotoboa miaka 12 baada ya hapo wanabaki na pesa

Eti "akipewa hela zote atatapeliwa au kuzitumbua hadi ziishe" kwani hao wabunge na wezi wengine wenyewe hawawezi kutapeliwa au kuzitumbua na warudi kua maskini 🤔🤔 yani mtu anajikaza miaka zaidi ya 20 kupambana kufanya kazi mnajidai kumtunzia pesa zake alafu anakuja kusalitiwa na kutapeliwa na serikali yake mwenyewe 🤔🤔 serikali inacho wafanyia hawa wazee ndio maana wanakufa mapema mpeni mtu pesa yake akimaliza na kua maskini ni yeye ametaka hana wakumlaumu

hivi ukifa kabla ya hiyo miaka 12 baada ya kustafu ,hela zilizobaki inakuwaje?

na kama wanasema wanataka kumsaidi mtu wa umma asitumie hela zake vibaya, na mfanyabiasha ,mkulima,mfugaji naye huwa wanamsaidiaje asitumie hela zake vibaya?
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Mpumbavu mkubwa wewe mwenye elimu mbona umejiharishia hapa! Hiyo 500K ndiyo badala ya 54M waliyopunjwa?

Kauze nyuma yako huko upate kuishi achana na mambo usiyoyajua!
 
Back
Top Bottom