Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Sijawahi kumjibu mtu kwa jazba, ila nawaza tu hapa? maana at the age of 60 ukafanye biashara itakayokuingizia 500,000 Tshs kwa mwezi, sidhani kama uko serious, hiyo ni biashara inayotakiwa uwe na nguvu nyingi sana, unless kama ulianza biashara ukiwa kijana.
 
Ni ajabu sana umetumikia jamhuri miaka yako 30+ halafu unategemea kupokea pensheni ya 40-60M ili ufanyie mambo yako au ikusaidie kusurvive baada ya kustaafu.

Hii hela ni ndogo sana. Ukikutwa katika miaka yako ya utumishi hujawahi kushika hela kama hiyo na huna cash flow ambayo angalau inazidi mshahara wako, basi itaisha tu ndani ya mda mfupi.

Mimi ualimu wito nawaonea huruma watumishi wanaowazia pensheni hapo wahesabu maumivu tu. Hicho kipensheni kinatakiwa kikukute una mishe zako then kije kutop up mtaji wa shughuli zako ambazo ulikuwa unazo kama sivyo utajuta kuwa mtumishi maana hela hiyo ni ndogo sana.

Watumishi tusomeni nyakati na tujue kujiandaa mapema kabla hatujadhalilika kwenye ustaafu wetu.

Saivi kila abiria achunge mzigo wake, wao wanakula kwa urefu wa kamba zao na wewe jitafakari ulipo chukua hatua ila sio kwa kuwaumiza wananchi wenzio, magap yapo ya kutosha.
 
Wewe itakuwa ni mtumishi wa psssf.
Mwaka juzi Mzee kastaafu kapewa milioni 100 na ushehe na kila mwezi anapata 600k.
Wenzake waliostaafu baada ya upuuzi wenu huu wanajuta.
Hakuna mtumishi wa umma anayefurahia huu ujinga ukiondoa watumishi wa psssf na nssf. Kingekuwa kizuri Wabunge wangekiingiza kwenye malipo yao.
Mimi ninastaafu 2049, sina hofu najua kitakuwa tayari omitted
Mkuu usijipe moyo. Kila mahali duniani mafao yanazidi kupunguzwa, na hali ya wastaafu na hata kwa watumishi kama watakuwepo itazidi kuwa mbaya, this is only the start. Nimesema kama watumishi watakuwepo kwa kuwa AI is taking over. Besides, usisahau kwamba by 2030, NWO wamepanga kwamba the One World Government iwe in place. How it will look like I do not know, what I do no however, is that it will be a very authoritarian government with Satan in complete control and "deplorables " who includes you and me if we happen to be alive they say, "we will own nothing but happy." So figure out hali hiyo. Utakuwa mtu kweli, ambaye huna kitu, lakini una furaha! Ni Zombies tu ambao wako hivyo.

Naomba nikutaarifu pia kwamba curling of the "human herd" is taking place already and fast.
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Mtu anastaafu ndo aanzishe biashara. Kichwani una funza, makamasi?

Na vipi kuhusu FAO la ujitoa endapo kazi imeisha au umeamua kufanya mambo mengine. Hili nalo tutatapeliwa. Muda mwingine muwe mnakaa kimya Tu. Ujinga na upuuzi wenu pelekeni Lumumba huko
 
Huo ni uonevu mkubwa sana!Sijui kwanini Hawa watu waliopitisha Hii kitu hawana hata hofu ya Mungu kwa KUFANYA dhambi kubwa kiasi hiki!Hakika hiki kikotoo kinatakiwa kipingwe na Kila mpenda Haki!
Laiti ungejua kilichopo nyuma ya pazia mkuu.Serikali hii has already been captured by Satan's minions and morons.Hawa watu,yaani Satanists wapo everywhere now;CCM,Serikalini,Taasisi zote,Viwandani,Biashara kubwa nk.They want you dead or alive,na bado.Hivi mnadhani kinachoendelea kwenye swala la umeme ni Cha kawaida,no.Kuchepusha maji makusudi yasiingie kwenye mabwawa!!!!!That is purely Satanic.Ni Satanist tu anayeweza kufurahia mateso ya mtu mwingine,lakini that is happening.Ona mjumbe wa Kamati ya Nishati ya Bunge akishusha bomu.
 

Attachments

  • VID-20240211-WA0001.mp4
    10.7 MB
Kama hawawezi kuungana wakakipinga hicho kikokotoo acha kiwakokotoe.

Umoja ni janga na changamoto sana hapa nchini.
 
Umeandika kinafiki kabisa,asante kwa mchango wako
mbona umehemka na kupanic sasa, ukweli mchungu sio.🐒

Tulia hivyo hivyo hamna namna ingine, na bado tunakusudia kubadili sheria nyingine nyingi tu kulingana na maoni ya wadau 🐒

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Wewe idiot huna elimu ya kikokotoo, ni mbumbu na lijinga. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
We kweli chawa...
 
Ila kw Ile ni uhuni wa Hali ya juu na ni Wizi na ukiwa Bado hujastaff ni Bora uibe Sana Yani iba sanaa
 
Mkuu Tate Mkuu umewasilisha jambo kubwa sana pamoja na ChawaWaMama kutokuona unachokilalamikia.....
Hiki kikokotoo peke yake ingetosha kuiweka ccm pembeni, walimu wangeamua kutoa elimu mitaani hawa wanyonyaji wasingeendelee kuwaibia wastaafu...
Wenye Maandamano Msisahau Bango la Kuibia Wazee Wastaafu Kwa Gia ya Kikokotoo. Wazee walipwe Stahiki zao sio kuwapangia.
 
Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
kwanini wabunge wasifanyiwe hivyo ewe chawa mwendawazimu?
 
Acha uongo, mfano ma prof vyuoni walipata mpaka mil 30 tu. Kwa ufupi kila mfuko ulikuwa na fomula yake, ila kwa sasa inatoa fursa sawa. Nimemtukana kwa sababu ni mjinga anapotosha watu. Kikokotoo cha sasa kinamuwezesha mstaafu kuishi bila wasiwasi kwa sababu monthly pension ni kubwa na mstaafu akiiwekeza vizuri lumpsum kwenye miradi mbali mbali inamlipa vizuri hata kama ikitokea lumpsum imeisha anaweza kuishi vizuri. Mleta maada aacha uzuzu
Acha kutudanganya wewe hujastaafu , unatetea dhuluma wewe
 
Kama hawawezi kuungana wakakipinga hicho kikokotoo acha kiwakokotoe.

Umoja ni janga na changamoto sana hapa nchini.
Watu wakishastaafu hawezi kuonana tena kama Kundi. Halafu ni Wizi tuu Wastaafu Kwa Mwaki hata 5 hawafiki. Kwa Nini wasingetengewe pesa Yao ya Mafao ya Mkupuo kama ilivyokuwa Zamani? Anyway Mifuko ya Hifadhi imetumia Fedha za Watumishi kuwekeze Kwenye miradi isiyolipa . Eg Majengo ya Pspf, Lapf, Nssf, yaliyotapakaa Nchi mzima yasiyo na Wapangaji. Mishahara na Marupurupu makubwa ya Watumishi wa hizi taasisi yamepelekea Wastaafu wapunjwe ili waneemeke Active workers. Chozi la Mzee haliendi bure, one day Watavuna walichopanda.
 
Ali Muradi walinzi wote, tiss,jwtz etc wame be included kwenye hiki 👆 kikokotoo.

Mimi binafsi nimefurahi sana
 
Back
Top Bottom