Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Serikali ya CCM imeshazoea kufanya dhuluma kwa wastaafu. Ilianza kwa watumishi wa iliyokuwa EAC ya awali, wakati wazee wa Kenya na Uganda wakilipwa stahiki zao, kwa upande wa Tanzania "blah blah" zikawa nyingi kisha Kambarage akawapiga na kitu kizito kichwani "story" ikaishia hapo.

Hivi sasa serikali ya CCM ina zigo kubwa la madeni kutoka katika mifuko ya hifadhi na kushindwa kuilipa. Kitu pekee ambacho wameona kinafaa kukifanya, ni kuweka kikokotoo kwa wastaafu, ili ipate unafuu katika kulipa kwa mkupuo mmoja.

Tuliwahi kumpata mtu mwenye uthubutu wa kukemea hadharani na kuchukua hatua, Marehemu Mtikila, pale alipoona haki za msingi za raia zikikandamizwa kwa makusudi na serikali. Tuna chama cha wanasheria, yaani TLS, na pia makundi ya wanaharakati, sijui hili la kikokotoo wanalionaje ama wamewahi kulitolea kauli yoyote ile iliyo rasmi!
 
Watu wakishastaafu hawezi kuonana tena kama Kundi. Halafu ni Wizi tuu Wastaafu Kwa Mwaki hata 5 hawafiki. Kwa Nini wasingetengewe pesa Yao ya Mafao ya Mkupuo kama ilivyokuwa Zamani? Anyway Mifuko ya Hifadhi imetumia Fedha za Watumishi kuwekeze Kwenye miradi isiyolipa . Eg Majengo ya Pspf, Lapf, Nssf, yaliyotapakaa Nchi mzima yasiyo na Wapangaji. Mishahara na Marupurupu makubwa ya Watumishi wa hizi taasisi yamepelekea Wastaafu wapunjwe ili waneemeke Active workers. Chozi la Mzee haliendi bure, one day Watavuna walichopanda.
Kila mtumishi anajiandaa kua mstaafu at ceteris paribus, na ndo hao watumishi wanatakiwa kuungana.
 
Hoja ni kinavyomuumiza mstaafu,swala la kinavyofanya kazi wala haina maana.Hizo kanuni zinawanufaisha wachache wenye mishahara mikubwa ila wengi wanaostaafu na mishahara midogo ni mateso tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndio hapo..unakuta mbweha mmoja anatoa mfano kwa mshahara wa Profesa anayesitaafu bila ya kujua kuna watumishi wanaositaafu wakiwa na basic salary ya 800k mpaka 900k!
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu [emoji2960])
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu [emoji2960]) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu [emoji2960])

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Wanarejesha wanatoa wapi? Pesa ilishapigwa kitambo sana. Watu wanaposema Chukua Chako Mapema huwa hamuelewi.??? Keki ya taifa ni ndogo sana, anayepata nafasi huwa anajisevia kuondoa msongamano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kikotoo kimewekwa hapo ili kuficha madhambi ya watu. Ila nyie Mungu anawaona kwa dhuluma mnazowafanyia watz, mmeshaona ni wapole hawakawii kukubaliana na hali. Ipo siku Mungu ataamua kuwatetea yeye mwenyewe maana ni Mungu wa HAKI
 
Laiti ungejua kilichopo nyuma ya pazia mkuu.Serikali hii has already been captured by Satan's minions and morons.Hawa watu,yaani Satanists wapo everywhere now;CCM,Serikalini,Taasisi zote,Viwandani,Biashara kubwa nk.They want you dead or alive,na bado.Hivi mnadhani kinachoendelea kwenye swala la umeme ni Cha kawaida,no.Kuchepusha maji makusudi yasiingie kwenye mabwawa!!!!!That is purely Satanic.Ni Satanist tu anayeweza kufurahia mateso ya mtu mwingine,lakini that is happening.Ona mjumbe wa Kamati ya Nishati ya Bunge akishusha bomu.
Huu ndio upuuzi wa ngozi nyeusi.

Badala ya kuleta suluhusho la matatizo unaleta nadharia za shetani.
 
Halafu TUCTA wasivyo hata na chembe ya aibu wanasema Wafanyakazi eti mameridhia uwepo wa hicho kikokotoo! Na wakati wastaafu wengi wanalalamikia huo wizi na uonevu wa wazi kabisa.
Hao Tucta ni watu wa ovyo sana tangia uwepo wao wamewahi fanya nini kumsaidia mtumishi kwa kupitia vyama vinavyounda hilo shirikisho zaidi ya kula hela za watumishi?
 
Huu ndio upuuzi wa ngozi nyeusi.

Badala ya kuleta suluhusho la matatizo unaleta nadharia za shetani.
Kaa pembeni,you are so empty spiritually,kiasi kwamba umeshindwa kuelewa that everything you see and here is spiritual.Na ni ajabu kwamba unasema sijaleta suluhisho!!Suluhisho ni kwamba kikotoo cha zamani kirudi.Kikotoo cha sasa ni mpango mkakati wa kuwaibia watumishi na kuwaua,which comes from the pit of hell.
 
Mpaka akili zitukae sawa, tutakapo acha kufatilia Simba na yanga, na upuuzi mwingine wa, kajala,baba levo, harmonize nk, tukaingia balabalani kama kule Senegal! Hakuna kitakachobadirika
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu [emoji2960])
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu [emoji2960]) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu [emoji2960])

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Chukua Chako Mapema ni laana
 
Halafu TUCTA wasivyo hata na chembe ya aibu wanasema Wafanyakazi eti mameridhia uwepo wa hicho kikokotoo! Na wakati wastaafu wengi wanalalamikia huo wizi na uonevu wa wazi kabisa.
Iliasisiwa na Jiwe kuwaibia
 
Hivi wewe ni nani unayeshabikia kikokotoo hiki? Ni mtumishi, mstaafu au shabiki tu? Usitukosee sisi wahanga wa hili janga. Nina wasiwasi wewe ni mmoja wa wale walotoa maamuzi ya kukianzisha ili muwaue haraka wastaafu, pesa zao zifie kwenu.
 
Unaambiwa Mtumishi wa uuma wa ngazi ya chini aliyefanya kazi serikalini kwa zaidi ya miaka 30. Anapostaafu analipwa 33% tu ya mafao yake.

Yaani kama mtumishi hiyo wa umma alistahili kupata milioni 100 kama mafao (kumbuka hii ni pesa yake halali aliyokatwa kupitia mshahara wake kwa miaka yote hiyo 30+), basi atapatiwa kiasi cha shilingi milioni 33 tu. Na kiasi kinachobakia analipwa kila mwisho wa mwezi kwa muda wa miaka 12! Ikitokea mstaafu akafariki wakati wowote ule baada tu ya kustaafu, na hicho kiasi nacho kinakomea hapo hapo (Wizi wa mchana huu [emoji2960])
Halafu kichekesho zaidi ni kwamba hiki kikokotoo ni kwa baadhi tu ya Watumishi wa umma! Mfano walimu, Manesi, Maafisa ugani, nk.

Ukija kwa Vigogo wa ngazi za juu, mfano Wabunge; eti wenyewe hawahusiki na hiki kikokotoo! (Ona ubaguzi na upendeleo wa wazi huu [emoji2960]) Ingawa na wenyewe eti ni watumishi wa umma!! Yaani wenyewe kila baada ya miaka 5 ya Ubunge wao, wanapatiwa mafao yao yote yanayokadiriwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 250 za Kitanzania!

Ukija kwa vigogo wengine wa juu zaidi; mfano Rais, Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na sasa wake wa hao vigogo; ikitokea wamestaafu! Wanapewa mafao yao yote! Na kila mwezi wanalipwa mshahara wa 80% kama ule wa Kigogo aliyeko madarakani kwa wakati huo kwa maisha yake yote! (Ubaguzi mwingine huu [emoji2960])

Swali la kujiuliza!! Kwa nini serikali mnawafanyia wafanyakazi wenu uonevu na wizi wa mchana kiasi hiki?

Mkiulizwa, mnatoa sababu za kipuuzi tu; eti wafanyakazi wakipewa hela zao zote kwa mkupuo wanaishia kuzitapanya na kutapeliwa, na mwisho wa siku wanakuwa masikini!! Sasa hao wafanyakazi wastaafu wakizitapanya hizo hela zao, nyinyi mnapata athari gani? Je, waliwaomba muwatunzie kupitia hicho kikokotoo chenu cha wizi?

Na kama mnaona ni muhimu kufanya hivyo, kwa nini msifanye mpaka kwa Wabunge? Je, ni kwa mini msitoe uhuru kwa Wastaafu kuchagua kama wanataka kupewa 33% pekee, au mafao yao yote?

Binafsi nimeandika haya malalamiko baada ya kushuhudia wastaafu fulani hivi niliopanda nao daladala sehemu fulani, wakilalamika kwa uchungu baada ya kulipwa mafao kiduchu kwa mfumo wenu huu kandamizi wa 33%.

Ushauri wangu kwa serikali; rejesheni mara moja kikokotoo cha zamani. Acheni kuwadhulumu wastaafu pesa zao.
Hii ni laana wanaitafuta,siyo siri.
Haiwezekani mtu mmemalizana nae mkataba kisha uendelee kushikilia pesa zake kwa kigezo kumpangia matumizi.
Haikubaliki hata kidogo.
 
Wewe huna elimu ya kikokotoo. Kikokotoo ni kizuri sana. Imagine anayelipwa mil 1,300,000 kwa mwezi anakuja kupokea 46 mil kama lumpsum, na bado kila mwezi atapata kama 500k, hivi huyu mtu akiamua kuiwekeza hiyo 46m kwenye duka au mifugo si atatengeneza kama laki tano zingine ukijumlisha anapata kama mil moja, compare na wakati wa ajira ana pungukiwa hela kidogo tu. Na hapo anakuwa na uhakika na cashflow yake.
Ficha upumbavu wako, yaani badala upewe 100ml ama 150ml yako unasema upewe 46 halafu zingine ushikiwe?

Wewe ni mtoto mdogo?
 
Back
Top Bottom