Watanzania walio wengi bado imekuwa vigumu kwao ktamka neno "kura" badala yake wanatamka "kula" na hivyo kupelekea kupoteza maana nzima iliyokusudiwa.
Tafadhali tusiharibu maana ya KURA. Ni KURA sio KULA.
October 28 tukapige KURA sio tukapige KULA.
Ahsanteni, tuendelee kufanya mazoezi ya ulimi.
Tafadhali tusiharibu maana ya KURA. Ni KURA sio KULA.
October 28 tukapige KURA sio tukapige KULA.
Ahsanteni, tuendelee kufanya mazoezi ya ulimi.