LGE2024 Tujitokeze kujiandikisha uchaguzi Serikali za Mitaa

LGE2024 Tujitokeze kujiandikisha uchaguzi Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
122
Reaction score
186
Ndugu zangu, wanajamii Forum TUJITOKEZE kwenye kujiandikisha daftari la wapiga kura serikali za mitaa na vijiji. Kwani Halichukui muda mwingi
..
Majina yako matatu, miaka yako... Sahihi yako tu.
Dakika moja tu unakuwa umeondoka.
 
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ni muhimu, Jiandikishe kwenye Orodha ya Mpiga kura wa Serikali za Mitaa Tarehe 11 - 20/10/2024 ili uweze kushiriki Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom