Tujiulize: Kama Ukraine isingekuwa inapewa silaha kila siku na nchi za Magharibi kama ambavyo Urusi haipewi silaha na nchi yoyote, hali ingekuwaje?

Tujiulize: Kama Ukraine isingekuwa inapewa silaha kila siku na nchi za Magharibi kama ambavyo Urusi haipewi silaha na nchi yoyote, hali ingekuwaje?

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.

Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii huyu rais mchekeshaji angeshakuwa historia!

Urusi imeshangaza!! Imewekewa vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000!! Inapambana na mataifa zaidi ya 30 yanayoisaidia Ukraine kwa hali na mali!

Lakini bado haijateteleka na pesa yake ruble imesharudisha nguvu yake iliyokuwa nayo kabla ya kuanza vita! Mabeberu wanashangaa kuwa inakuwaje hatujafanikiwa kuidhoofisha Urusi pamoja na vikwazo vyote hivyo?

Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa!
 
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.

Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii huyu rais mchekeshaji angeshakuwa historia!

Urusi imeshangaza!! Imewekewa vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000!! Inapambana na mataifa zaidi ya 30 yanayoisaidia Ukraine kwa hali na mali!

Lakini bado haijateteleka na pesa yake ruble imesharudisha nguvu yake iliyokuwa nayo kabla ya kuanza vita! Mabeberu wanashangaa kuwa inakuwaje hatujafanikiwa kuidhoofisha Urusi pamoja na vikwazo vyote hivyo?

Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa!
Uzi tayari.
 
Mrusi anagawa kichapo ila lengo lake la kuishika kyiv na kumuua yule comedian limecheleweshwa na hao jamaa wanaogawa silaha kama chupi
 
Acha kujiuliza maswali ya kijinga. Na kama Urusi isingeivamia Ukraine, hali ya amani na uchumi wa Ukraine na dunia ingekuwaje?
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.

Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii huyu rais mchekeshaji angeshakuwa historia!

Urusi imeshangaza!! Imewekewa vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000!! Inapambana na mataifa zaidi ya 30 yanayoisaidia Ukraine kwa hali na mali!

Lakini bado haijateteleka na pesa yake ruble imesharudisha nguvu yake iliyokuwa nayo kabla ya kuanza vita! Mabeberu wanashangaa kuwa inakuwaje hatujafanikiwa kuidhoofisha Urusi pamoja na vikwazo vyote hivyo?

Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa!
 
Acha kujiuliza maswali ya kijinga. Na kama Urusi isingeivamia Ukraine, hali ya amani na uchumi wa Ukraine na dunia ingekuwaje?
Ukraine ilirubuniwa na mataifa ya magharibi na kuilazimisha Urusi iivamie!! Ilichokuwa inakikataa kabla ya kuvamiwa ndicho imeshakikubali baada ya kuvamiwa yaani kukubali KUTOJIUNGA NA NATO. Imepata faida gani kwa kukataa mwanzoni?
 
Urusi angekalishwa mapema sanaaa... misaada inapumbaza ndio maana Ukraine anapata shida kumpiga Urusi, huku rais bwana sele akija kuomba msaada Afrika kwa waomba misaada... nadhani ana taka ujuzi zaidi wa jinsi ya kuomba misaada toka kwa waafrika...
 
Au jiulize kama Urusi asingekuwa anasaidiwa na Belarus na mamluki wa Syria hali ingekuwaje?
 
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.

Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii huyu rais mchekeshaji angeshakuwa historia!

Urusi imeshangaza!! Imewekewa vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000!! Inapambana na mataifa zaidi ya 30 yanayoisaidia Ukraine kwa hali na mali!

Lakini bado haijateteleka na pesa yake ruble imesharudisha nguvu yake iliyokuwa nayo kabla ya kuanza vita! Mabeberu wanashangaa kuwa inakuwaje hatujafanikiwa kuidhoofisha Urusi pamoja na vikwazo vyote hivyo?

Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa!
Aibu kwa Urusi kupambana na Ukraine, amejiexpose sana.
 
Sawa
Aibu kwa Urusi kupambana na Ukraine, amejiexpose sana.
Sawa
FB_IMG_16505433022315053.jpg
 
Nimekuwa nikijiuliza hali ingekuwaje kama mpambano kati ya Urusi na Ukraine ungekuwa MMOJA DHIDI YA MMOJA na wengine wakawa watazamaji tu.

Ukraine wameshakiri kuwa sehemu kubwa ya silaha zake ziliharibiwa siku ya kwanza ya vita. Bila nchi za magharibi kumpatia ukraine silaha muda wote saa hii huyu rais mchekeshaji angeshakuwa historia!

Urusi imeshangaza!! Imewekewa vikwazo vya kiuchumi zaidi ya 6,000!! Inapambana na mataifa zaidi ya 30 yanayoisaidia Ukraine kwa hali na mali!

Lakini bado haijateteleka na pesa yake ruble imesharudisha nguvu yake iliyokuwa nayo kabla ya kuanza vita! Mabeberu wanashangaa kuwa inakuwaje hatujafanikiwa kuidhoofisha Urusi pamoja na vikwazo vyote hivyo?

Ngoja tuone mambo yatakavyokuwa!
Mambo yangekuwa mepesi, sema pia haingekuwa vita fair acha wapambe wampe silaha ili Urusi awakalishe wote na support yao
 
Kwa akili yako ndogo, unafikiri Ukraine haitajiunga na NATO kamwe? Finland and Sweden wanajiunga hivi karibuni. Hata Russia anaweza kujiunga na NATO akitaka.
Ukraine ilirubuniwa na mataifa ya magharibi na kuilazimisha Urusi iivamie!! Ilichokuwa inakikataa kabla ya kuvamiwa ndicho imeshakikubali baada ya kuvamiwa yaani kukubali KUTOJIUNGA NA NATO. Imepata faida gani kwa kukataa mwanzoni?
 
Back
Top Bottom