Uchaguzi 2020 Tujiulize, tumuulize anautaka Urais kwa maslahi ya nani?

Uchaguzi 2020 Tujiulize, tumuulize anautaka Urais kwa maslahi ya nani?

Mgombea asiyekuwa tayari kutokea kwenye mdahalo kutuhabarisha anasimamia nini na akahojiwa, huyo hatufai.

Hasa hasa kama yeye si:

IMG_20200804_210728_515.jpg


Akajikite kwenye mashamba na mifugo yake tu.
 
"Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu"...

Alikimbilia ughaibuni!!
Akidai anaenda kupata matibabu!

Jamani mjue hata shetani atakuwa anawashangaa kwa mlivyomzidi roho mbaya?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Swali la kijinga hilo
 
Wewe mtoa mada ungekuwa mtoto wangu walahi leo ningekutia kikaangoni nyambafu kabisa.
 
Yule aliyetoa RUSHWA YA SHILINGI MILIONI MIA MOJA (100,000,000/=) PALE DUMILA NI KWA FAIDA YA NANI?
 
digba sowey,

Kwahiyo wewe akili zako unazifikiria makaliona?

Kura atapigiwa na kushinda atashinda.

Kinachokuuma nini hasa?

Wewe umelifanyia nini taifa lako kwenye umri wako ulionao?
Ujumbe wako ulikuwa mzuri pengine km hiyo lugha ya matusi usingeijumuisha humo
 
Umeandika TAKATAKA.
LISSU HAKWENDA HUKO UGHAIBUNI ALIPELEKWA.
MBILI ALIYESEMA NA ANAYESEMA HATAKI FEDHA ZA MABEBARU N MAGUFULI NA WAPAMBE WAKE.
TATU KUGOMBEA NI HAKI YA MTU
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.

Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?

Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.

Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Mods futeni huu uharo.
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.

Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?

Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.

Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Acheni woga ccm tulieni mfunzwe siasa.
 
Sema kwa maslahi yenu ninyi na si watanzania wote, hakuna mtu mpayukaji kila siku awe na maslahi kwa nchi.
Kuna mpayukaji nchi hii kama Mungufool (Mungu mjinga) kweli?
 
Hana jipya huyo, ana miluzi mingi ya kumpoteza mbwa.

WaTZ wa Sasa si wa 2015 wa gia za angani na zungusha!zungusha!

Tena mfitini Sana huyo,Naona suala la Bomberdia na beberu wake wa south, Machenikia, na dictator uchwara zimeputa Kama upepo.

Sa hivi anakwambia anaskia Kuna watu wanakufa na Corona huku yeye na genge lake la kula rudhuku walijazana Airport na wanaendelea kujazana.
Utopolo
 
Akili za kisoda
Hana jipya huyo, ana miluzi mingi ya kumpoteza mbwa.

WaTZ wa Sasa si wa 2015 wa gia za angani na zungusha!zungusha!

Tena mfitini Sana huyo,Naona suala la Bomberdia na beberu wake wa south, Machenikia, na dictator uchwara zimeputa Kama upepo.

Sa hivi anakwambia anaskia Kuna watu wanakufa na Corona huku yeye na genge lake la kula rudhuku walijazana Airport na wanaendelea kujazana.
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu,
Hiyo kauli inapingana yenyewe kwa yenyewe. Unakubali kuwa alijeruhiwa na kunusurika kifo halafu unasema...... akidai anaenda kupata matibabu!
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.

Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?

Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.

Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
We ni mpumbavu sana kwani Magu anautaka urais kwa maslahi ya nani. Kwani Lissu si ni mtanzania kama Magufuli sasa unachotaka asigombee au vp. wewe shughulika na Magu Lissu umwache atimize haki ya kikatiba
 
Back
Top Bottom