Uchaguzi 2020 Tujiulize, tumuulize anautaka Urais kwa maslahi ya nani?

Uchaguzi 2020 Tujiulize, tumuulize anautaka Urais kwa maslahi ya nani?

Mkuu, unawasiwasi atavunja madaraja na mabarabara turiyoyajenga iri atoe vyuma akauze kwenye skerepa?[emoji1787]

Anyways, ni haki ya kila mtu kugombea na Lisu hajavunja sheria yoyote ya nchi
Chadema ni viwavi
 
Kama mlimdanganya mgombea wenu kua yeye ni alfa na omega na atashinda kwa asilimia 100 mlijidanganya.Kaa kwakutulia dawa isambae.
 
Kama mlimdanganya mgombea wenu kua yeye ni alfa na omega na atashinda kwa asilimia 100 mlijidanganya.Kaa kwakutulia dawa isambae.
Huyu hawezi kuwa rais wa nchi hii hadi kiama,
 
Huyu hawezi kuwa rais wa nchi hii hadi kiama,

Asiyekubali kushindwa si mshindani. Kama katika kumzuia kuwa rais wa nchi hii kukwiba uchaguzi ni sehemu za agenda yenu - tuendelee kukumbushana wakuu. ICC safari hii kuna mtu itamhusu.
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.

Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?

Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.

Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Watanzania na maliasili zao
 
Asiyekubali kushindwa si mshindani. Kama katika kumzuia kuwa rais wa nchi hii kukwiba uchaguzi ni sehemu za agenda yenu - tuendelee kukumbushana wakuu. ICC safari hii kuna mtu itamhusu.
Wa kwanza kwenda ICC atakuwa Lissu na genge lake,believe me.
 
Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.

Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.

Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?

Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.

Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Kama Tanzania tunawapumbavu kama nyinyi haina haja kwenda shule...ulimbukeni wa hali ya huyu...uozo wa akili kabisa..kila mwananchi na haki ya kugombea nafasi yoyote as long as chama champion chaka kimempitisha pamoja na tume...akili ambazo zimeoza kama zako ni shida sana kwa maendeleo ya nacho hiii...
 
Kama Tanzania tunawapumbavu kama nyinyi haina haja kwenda shule...ulimbukeni wa hali ya huyu...uozo wa akili kabisa..kila mwananchi na haki ya kugombea nafasi yoyote as long as chama champion chaka kimempitisha pamoja na tume...akili ambazo zimeoza kama zako ni shida sana kwa maendeleo ya nacho hiii...
Soma tena ulichokiandika ili ukilekebishe ili kunioa nafasi ya kukujibu kwa ufasaha,naona unepaniki sana
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (NCHI MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
 
NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.

Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (NCHI MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.

CCM imetufikisha hapa
Focus economy na world bank nano mwenye takwimu sahihi?
 
Wa kwanza kwenda ICC atakuwa Lissu na genge lake,believe me.

Kuna jibu moja zuri sana nimeliona likielekezwa kwako:

"Wanasema subiri dak 90." Ya nini kuandikia mate?

Kukwiba mkwibe nyie, waripua risasi 38 kwa mtu mmoja nyie, yote nyie halafu muachwe nyie?

Mamboleo apenye hivi hivi? Labda kama atakuwa aliasha staafu na kama jina jingine la Feleshi ni Fatouh Bensouda!
 
Kuna jibu moja zuri sana nimeliona likielekezwa kwako:

"Wanasema subiri dak 90." Ya nini kuandikia mate?

Kukwiba mkwibe nyie, waripua risasi 38 kwa mtu mmoja nyie, yote nyie halafu muachwe nyie?

Mamboleo apenye hivi hivi? Labda kama atakuwa aliasha staafu na kama jina jingine la Feleshi ni Fatouh Bensouda!

Jamaa anataka kuvuka mto kabla hajaufikia.
 
Kuna jibu moja zuri sana nimeliona likielekezwa kwako:

"Wanasema subiri dak 90." Ya nini kuandikia mate?

Kukwiba mkwibe nyie, waripua risasi 38 kwa mtu mmoja nyie, yote nyie halafu muachwe nyie?

Mamboleo apenye hivi hivi? Labda kama atakuwa aliasha staafu na kama jina jingine la Feleshi ni Fatouh Bensouda!

Jamaa anataka kuvuka mto kabla hajaufikia.
 
Soma tena ulichokiandika ili ukilekebishe ili kunioa nafasi ya kukujibu kwa ufasaha,naona unepaniki sana

Kwani wewe umeandika je hapo? Au tuseme ni kweli kabisa kuwa na wewe wataka kuolewa?

Mmetumwa kujibu hoja si kuleta viroja jombi.

Tunakoelekea kwa mwendo huu, hata hii buku 7 mtanyimwa si muda mrefu. Ama kwa hakika mmeshindwa kuitendea haki.
 
Back
Top Bottom