Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Atatangazwa??digba sowey,
Kwahiyo wewe akili zako unazifikiria makaliona?
Kura atapigiwa na kushinda atashinda.
Kinachokuuma nini hasa?
Wewe umelifanyia nini taifa lako kwenye umri wako ulionao?
Subiri baada ya dakika kumi watafutaMods futeni huu uharo.
Chadema ni viwaviMkuu, unawasiwasi atavunja madaraja na mabarabara turiyoyajenga iri atoe vyuma akauze kwenye skerepa?[emoji1787]
Anyways, ni haki ya kila mtu kugombea na Lisu hajavunja sheria yoyote ya nchi
Tatizo hawa mataga hawana akili.Ujumbe wako ulikuwa mzuri pengine km hiyo lugha ya matusi usingeijumuisha humo
Huyu hawezi kuwa rais wa nchi hii hadi kiama,Kama mlimdanganya mgombea wenu kua yeye ni alfa na omega na atashinda kwa asilimia 100 mlijidanganya.Kaa kwakutulia dawa isambae.
Kwa maslahi ya sisi Watanzania wote.
Huyu hawezi kuwa rais wa nchi hii hadi kiama,
Watanzania na maliasili zaoWakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.
Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.
Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?
Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.
Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Wa kwanza kwenda ICC atakuwa Lissu na genge lake,believe me.Asiyekubali kushindwa si mshindani. Kama katika kumzuia kuwa rais wa nchi hii kukwiba uchaguzi ni sehemu za agenda yenu - tuendelee kukumbushana wakuu. ICC safari hii kuna mtu itamhusu.
Kama Tanzania tunawapumbavu kama nyinyi haina haja kwenda shule...ulimbukeni wa hali ya huyu...uozo wa akili kabisa..kila mwananchi na haki ya kugombea nafasi yoyote as long as chama champion chaka kimempitisha pamoja na tume...akili ambazo zimeoza kama zako ni shida sana kwa maendeleo ya nacho hiii...Wakuu natumaini kuwa hamjambo na mnaendelea na shughuli zenu kama kawaida.
Naomba niende kwenye hoja yangu. Wahenga walisema Muda ni mwalimu mzuri, Bwana huyu anayeitwa Tundu Lissu baada ya kujeruhiwa na kunusurika kifo alikimbilia ughaibuni akidai kuwa anaenda pata matibabu, akiwa huko ughaibuni alitumia njia za kila aina kuichafua nchi yetu na kumchafua rais wetu, na alijiapiza kuwa lazima nchi wahisani zikome kutoa misaada kwa Tanzania na Watanzania.
Baada ya kuona hoja na chuki zake hazijazaa matunda amebadili uelekeo na kuutaka urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akijidai eti ni mtetezi wa wanyonge, wanyonge wepi hao anaowatetea wakati akiwa ng'ambo aliwatakia maisha mabaya?
Huyu Lissu kwa kauli zake ambazo amekuwa akizitoa zinathibitisha kuwa ana nia ovu imefichika juu ya kuutaka urais, na kwa akili zake anaamini kabisa Watanzania watampa kura. Chonde chonde Watanzania tumuepuke huyu mtu, nikimwangalia naona kama kuna nguvu nyuma yake, nguvu hiyo siyo zuri maana imelenga kuharibu mstakabari na umoja wa taifa letu.
Shime Watanzania, Lissu ni garasa tusijaribu kuharibu umoja na mshikamano wetu uliodumu kwa miaka zaidi ya 50 kumpa kura eti awe Rais maana huyu mtu ni mbinafsi, ni mwenye chuki na hana staha mdomoni kwake, lakini pia anatumika kuharibu amani ya taifa letu.
Soma tena ulichokiandika ili ukilekebishe ili kunioa nafasi ya kukujibu kwa ufasaha,naona unepaniki sanaKama Tanzania tunawapumbavu kama nyinyi haina haja kwenda shule...ulimbukeni wa hali ya huyu...uozo wa akili kabisa..kila mwananchi na haki ya kugombea nafasi yoyote as long as chama champion chaka kimempitisha pamoja na tume...akili ambazo zimeoza kama zako ni shida sana kwa maendeleo ya nacho hiii...
Focus economy na world bank nano mwenye takwimu sahihi?NAWAKUMBUSHA TU WAKUU.
Tanzania ni moja kati ya The Poorest Countries in the World (NCHI MASIKINI ZAIDI DUNIANI) inashika nafasi ya 8 kutoka chini. ( Focus economy 2019- 23)
MIAKA 60 YA UHURU.
CCM imetufikisha hapa
Wa kwanza kwenda ICC atakuwa Lissu na genge lake,believe me.
Kuna jibu moja zuri sana nimeliona likielekezwa kwako:
"Wanasema subiri dak 90." Ya nini kuandikia mate?
Kukwiba mkwibe nyie, waripua risasi 38 kwa mtu mmoja nyie, yote nyie halafu muachwe nyie?
Mamboleo apenye hivi hivi? Labda kama atakuwa aliasha staafu na kama jina jingine la Feleshi ni Fatouh Bensouda!
Kuna jibu moja zuri sana nimeliona likielekezwa kwako:
"Wanasema subiri dak 90." Ya nini kuandikia mate?
Kukwiba mkwibe nyie, waripua risasi 38 kwa mtu mmoja nyie, yote nyie halafu muachwe nyie?
Mamboleo apenye hivi hivi? Labda kama atakuwa aliasha staafu na kama jina jingine la Feleshi ni Fatouh Bensouda!
Soma tena ulichokiandika ili ukilekebishe ili kunioa nafasi ya kukujibu kwa ufasaha,naona unepaniki sana
Mkuu hujambo?digba sowey,
Kwahiyo wewe akili zako unazifikiria makaliona?
Kura atapigiwa na kushinda atashinda.
Kinachokuuma nini hasa?
Wewe umelifanyia nini taifa lako kwenye umri wako ulionao?
Ooooh kashinda njaaa............namba not richabodigba sowey,
Kwahiyo wewe akili zako unazifikiria makaliona?
Kura atapigiwa na kushinda atashinda.
Kinachokuuma nini hasa?
Wewe umelifanyia nini taifa lako kwenye umri wako ulionao?