Tujiunge kwenye vyama ambavyo vina mifumo ya utaifa kwanza, kwa wote tulioiasi au kuikataa CCM

Tujiunge kwenye vyama ambavyo vina mifumo ya utaifa kwanza, kwa wote tulioiasi au kuikataa CCM

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Ikumbukwe sisi watanzania,kabla ya mfumo wa upinzania kuanza sisi sote CHAMA chetu kilikuwa ni chama cha mapinduzi yaani ccm, baada ya vyama kufunguliwa ndipo kila mmoja wetu kwa akili zake akakimbilia pale anapoona panamstahili na panapoweza kumtimizia mawazo yake na malengo yake ya kisiasa kwa mujibu wa uoni wake,
Basi katika kuchagua vyama ambavyo tunadhani vina malengo ya kweli katika kumkomboa mtanzania huyu pasipo kumgawa kwa udini wake,ukabila wake,rangi zake utanganyika wake aidha uzanzibar wake,ni hekima tukachekecha kwa kina kuhusu ni wapi panapotufaa,ambapo panadhamira ya kweli ikiwamo kuulinda umoja wetu wa kitaifa bila kumungunya.
N.B-UNAWEZA KUIPIMA HEKIMA YA CHAMA HIKI KIRAHISI KABISA,KINAKWENDA MOJA KWA MOJA KUGUSA PALE PANAPOSTAHILI NA SIO ROPOROPO KILA KONA,AMBAZO ZINAWEZA ZISIZAE MATUNDA YOYOTE ZAIDI YA KELELE TU.
-Ndani ya Act pana hekima,
-Ndani ya Act tafakuri ya kina,
-Ndani ya Act Busara,hakuna kukurupuka,
-Chama kina umri mdogo lakini kiko well matured, kwa hali ya juu kabisa,ki discipline,principles and integrity!


FB_IMG_1690933290338.jpg
 
Ikumbukwe sisi watanzania,kabla ya mfumo wa upinzania kuanza sisi sote CHAMA chetu kilikuwa ni chama cha mapinduzi yaani ccm, baada ya vyama kufunguliwa ndipo kila mmoja wetu kwa akili zake akakimbilia pale anapoona panamstahili na panapoweza kumtimizia mawazo yake na malengo yake ya kisiasa kwa mujibu wa uoni wake,
Basi katika kuchagua vyama ambavyo tunadhani vina malengo ya kweli katika kumkomboa mtanzania huyu pasipo kumgawa kwa udini wake,ukabila wake,rangi zake utanganyika wake aidha uzanzibar wake,ni hekima tukachekecha kwa kina kuhusu ni wapi panapotufaa,ambapo panadhamira ya kweli ikiwamo kuulinda umoja wetu wa kitaifa bila kumungunya.
N.B-UNAWEZA KUIPIMA HEKIMA YA CHAMA HIKI KIRAHISI KABISA,KINAKWENDA MOJA KWA MOJA KUGUSA PALE PANAPOSTAHILI NA SIO ROPOROPO KILA KONA,AMBAZO ZINAWEZA ZISIZAE MATUNDA YOYOTE ZAIDI YA KELELE TU.View attachment 2705696
ACT ilianzishwa Kwa Msaada wa CCM ili kuiondoa CHADEMA ,zitto dalali ndio aliyepewa hiyo kazi ,kama hamuwezi kulinda na kutetea rasilimali za nchi mnatetea nini!! wahuniiiii tu
 
Ikumbukwe sisi watanzania,kabla ya mfumo wa upinzania kuanza sisi sote CHAMA chetu kilikuwa ni chama cha mapinduzi yaani ccm, baada ya vyama kufunguliwa ndipo kila mmoja wetu kwa akili zake akakimbilia pale anapoona panamstahili na panapoweza kumtimizia mawazo yake na malengo yake ya kisiasa kwa mujibu wa uoni wake,
Basi katika kuchagua vyama ambavyo tunadhani vina malengo ya kweli katika kumkomboa mtanzania huyu pasipo kumgawa kwa udini wake,ukabila wake,rangi zake utanganyika wake aidha uzanzibar wake,ni hekima tukachekecha kwa kina kuhusu ni wapi panapotufaa,ambapo panadhamira ya kweli ikiwamo kuulinda umoja wetu wa kitaifa bila kumungunya.
N.B-UNAWEZA KUIPIMA HEKIMA YA CHAMA HIKI KIRAHISI KABISA,KINAKWENDA MOJA KWA MOJA KUGUSA PALE PANAPOSTAHILI NA SIO ROPOROPO KILA KONA,AMBAZO ZINAWEZA ZISIZAE MATUNDA YOYOTE ZAIDI YA KELELE TU.View attachment 2705696ACT sio chama Cha watanganyika ni Cha wabembe kutoka Congo wanaoishi kigoma na Waarabu wa pemba
 
ACT ilianzishwa Kwa Msaada wa CCM ili kuiondoa CHADEMA ,zitto dalali ndio aliyepewa hiyo kazi ,kama hamuwezi kulinda na kutetea rasilimali za nchi mnatetea nini!! wahuniiiii tu
Weka ushahidi hapa,tuachane na tetesi za kitaa za wahuni wa chadema,katika kubuni upuuzi.
 
Weka ushahidi hapa,tuachane na tetesi za kitaa za wahuni wa chadema,katika kubuni upuuzi.
Wahuni wakubwa nyie taka taka wanafiki
Wenye akili tunajua michezo yenu
Mnajifanya wapole kumbe mmeficha majambia kwenye makoti pumbavu kabsaa

Peleka unafik wenu huko porin
Kadanganye wajinga wenzenu huko
 
Ikumbukwe sisi watanzania,kabla ya mfumo wa upinzania kuanza sisi sote CHAMA chetu kilikuwa ni chama cha mapinduzi yaani ccm, baada ya vyama kufunguliwa ndipo kila mmoja wetu kwa akili zake akakimbilia pale anapoona panamstahili na panapoweza kumtimizia mawazo yake na malengo yake ya kisiasa kwa mujibu wa uoni wake,
Basi katika kuchagua vyama ambavyo tunadhani vina malengo ya kweli katika kumkomboa mtanzania huyu pasipo kumgawa kwa udini wake,ukabila wake,rangi zake utanganyika wake aidha uzanzibar wake,ni hekima tukachekecha kwa kina kuhusu ni wapi panapotufaa,ambapo panadhamira ya kweli ikiwamo kuulinda umoja wetu wa kitaifa bila kumungunya.
N.B-UNAWEZA KUIPIMA HEKIMA YA CHAMA HIKI KIRAHISI KABISA,KINAKWENDA MOJA KWA MOJA KUGUSA PALE PANAPOSTAHILI NA SIO ROPOROPO KILA KONA,AMBAZO ZINAWEZA ZISIZAE MATUNDA YOYOTE ZAIDI YA KELELE TU.
-Ndani ya Act pana hekima,
-Ndani ya Act tafakuri ya kina,
-Ndani ya Act Busara,hakuna kukurupuka,
-Chama kina umri mdogo lakini kiko well matured, kwa hali ya juu kabisa,ki discipline,principles and integrity!


View attachment 2705696
Bila CHADEMA hakuna upinzani
 
Ccm B,act wazalendo na uvccm tofauti yao ni sare tu.
 
Ikumbukwe sisi watanzania,kabla ya mfumo wa upinzania kuanza sisi sote CHAMA chetu kilikuwa ni chama cha mapinduzi yaani ccm, baada ya vyama kufunguliwa ndipo kila mmoja wetu kwa akili zake akakimbilia pale anapoona panamstahili na panapoweza kumtimizia mawazo yake na malengo yake ya kisiasa kwa mujibu wa uoni wake,
Basi katika kuchagua vyama ambavyo tunadhani vina malengo ya kweli katika kumkomboa mtanzania huyu pasipo kumgawa kwa udini wake,ukabila wake,rangi zake utanganyika wake aidha uzanzibar wake,ni hekima tukachekecha kwa kina kuhusu ni wapi panapotufaa,ambapo panadhamira ya kweli ikiwamo kuulinda umoja wetu wa kitaifa bila kumungunya.
N.B-UNAWEZA KUIPIMA HEKIMA YA CHAMA HIKI KIRAHISI KABISA,KINAKWENDA MOJA KWA MOJA KUGUSA PALE PANAPOSTAHILI NA SIO ROPOROPO KILA KONA,AMBAZO ZINAWEZA ZISIZAE MATUNDA YOYOTE ZAIDI YA KELELE TU.
-Ndani ya Act pana hekima,
-Ndani ya Act tafakuri ya kina,
-Ndani ya Act Busara,hakuna kukurupuka,
-Chama kina umri mdogo lakini kiko well matured, kwa hali ya juu kabisa,ki discipline,principles and integrity!


View attachment 2705696
Mbona walishasema ni FAKE? hahahahaha
 
Ccm B,act wazalendo na uvccm tofauti yao ni sare tu.
kila anayefanya mambo kwa staha,kwenu anakuwa hafai,wapi na wapi hii, kwa hiyo wote hata tuliolelewa katika maadili tugeuke wa hovyohovyo!
 
Back
Top Bottom