Tujivue gamba ni wakati sahihi

Tujivue gamba ni wakati sahihi

Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!
Atakubali sasa..?
 
Tuwe makini na Lissu ni very divisive na CHADEMA itageuka kuwa chama cha wanaharakati zaidi kuliko chama cha siasa.
Jiulize tangu cdm imekuwa chama cha siasa sio wanaharakati, leo hii kuna mafanikio yapi?
 
Haondoki mtu, wacha kife kuliko kumkabidhi mropokaji chiba
Nawe ni chiba ujaye.
Pia kupigania chadema ndio maana ameumizwa lkn leo Mbowe wenu anajinufaisha peke yake wakdati. wengine wametiwa vilema
 
Kuna pesa wanapokeaga toka kwa wahisani nje ya nchi.so mwenye haki ana maamuzi wa hizo pesa anakuaga chairman.so wengine huzitazama tu...hiii vita nikubwa,ukitaka ubaya gusa satanic ya boss wako.

Democracy inapigiwa debe na wazungu kwani nimpango mahususi wa kuziendeleza nchi zao.(kwani husababisha vurugu,huuwa utamaduni wenu)
Vyama vya siasa ni mahususi kwa kuleta mtikisiko na utofauti wenyewe kwa wenyewe iliwapate kuchuma mali zenu hao wahisani.
 
Juzi kwenye uchaguzi, Lisu na Wenje wamefanya nini kwenye maeneo yao kuonesha nguvu ya upinzania kuwa ni bora kuliko maridhiano? Unadhani 2025 watafanya nini? sana sana akiwakera kupitiliz watamtafutia visa na "kummaliza"

Ggf_k5SWEAAQwSQ.jpeg


Gf8b-vhawAEan-I.jpeg


GfuZZOtbEAALNeE.jpeg
 
 
 
Tumewaona wanyama na binadamu wengi wakizeeka na kufa lakini sio nyoka..

Ni ngumu sana sana kukutana na nyoka mzee.Siri ni moja tu. Nyoka wana hulka ya kujivua gamba (ngozi ya zamani) pale wanapojihisi wameanza kuzeeka na kuanza kupoteza nguvu ya kuishi kupitia mapambano ya maisha.

Mchakato wa nyoka kujivua gamba la zamani sio rahisi kihivyo.

Hutafuta eneo tulivu wenye mimea hai lakini yenye miba na ustawi wa mzuri.

Mimea mikavu hata kama ina mimba ni mfu hivyo hawezi kustahimili mchakato wao kujivua gamba!

CHADEMA ni chama kikongwe kwenye siasa za Tanganyika na pengine Afrika!

Ni kikongwe lakini kilichogoma kuzeeka! Kimeendelea kushamiri na kukua kwenye kila sekta na kila idara lakini hakuna marefu yasiyo na ncha..

Hakuna nyoka mzee kwa sababu wengi huuliwa.. Kwa hofu ama vinginevyo.

Uhai wa binadamu na roho na uzima wa gari ni mashine..! Uhai wa taasisi ni maono ya jasiri muongoza njia na 'cobweb'
Kuna nyakati za kukubaliana na mahitaji ya nyakati.

Ni muhimu sana kujivua gamba wakata unapoamua
Mwamba kaitoa mbali CHADEMA.. Mbali sana.. Kaikuza na kuijenga kwa mafanikio makubwa ya kukumbukwa vizazi na vizazi.. Lakini kama nyoka anahitaji kujivua gamba.

Ni kama nyani mzee aliyekwepa mishale mingi ya sumu. Kuna wakati ukifika huamua kupumzika na kuwa kuhani wa kulea vizazi!

Akikomaa hata wakati na nyakati humkataa automatically!

Kwa nyakati zilizopo ni muhimu na ni lazima kujivua gamba.. Akijivua yeye gamba ni sawa na taasisi nzima kuzaliwa upya!

Inahitajika CHADEMA mpya .. Yenye makali mapya na gamba jipya kukabiliana na nyoka wa mapangoni, mwituni na jangwani

Ni wakati wa CHADEMA kujivua gamba!
MBOWE hayuko tayari
 
Back
Top Bottom