Tujivunie vyetu, waweke hapa wanateknolojia kutoka Tanzania unaowajua wanaoweza kuwa inspiration kwa wengine

Tujivunie vyetu, waweke hapa wanateknolojia kutoka Tanzania unaowajua wanaoweza kuwa inspiration kwa wengine

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kidogo kidogo tunanyata kwenye mambo ya Teknolojia, lakini hata pole pole ni mwendo.

Najua hapa kwetu Tanzania kwenye suala zima la Teknolojia bado tupo nyuma lakini bado wapo wadau wanaopambana kwenye hii sekta na wanaweza kuwa inspiration.

Uzi huu weka mtanzania yeyote unaemjua ambae alifanya chochote kwenye tasnia ya teknolojia

iwe katoboa au lah it doesnt matter,

awe tu kafanya chochote katika medani za kiteknolojia... hata yule jamaa alietengeneza mashine ya kuingiza sarafu ili bomba litoe maji anahusika hapa.

Muwe mnaongezea na nyama basi, sio unataja tu jina, ongezea details kama Kasoma wapi, Kafanya nini ,
Yupo wapi, n.k.
 
Nianze na Mr Maxence Melo , product ya DIT pale zamani Dar tech...mhandisi alieacha ajira na kutumia elimu yake kuifuma tovuti ya jambo forums mwaka 2006 ambayo kwa sasa tunaiita jamiiforums.

Photo by Maxence Melo on March 16, 2023. May be an image of eyewear..jpg
 
Nape Moses Nnauye - Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia

2e04163203d32535f5f1b07fe7cc4fca.jpeg
 
Njunwa wa Mavoko..

Hata siijui picha yake lakini ni moja wa vijana aliefanya tuweze kutumia internet bure miaka ya 2010s, alikuwa anasuka software zake zinazoweza kutumia internet bure kwenye pc, malipo yalikuwa ni shilingi elfu kumi kila mwezi utatumia bila kikomo, Pia alikuwa wakala wa vpn zingine kama tunnel guru na aliweza kutusukia mafaili ya settings.

kwa wale wazee wa dstv nao walikuwa wanauziwa vingamuzi maalum kuruka viunzi.
 
Kidogo kidogo tunanyata kwenye mambo ya Teknolojia, lakini hata pole pole ni mwendo.

Najua hapa kwetu Tanzania kwenye suala zima la Teknolojia bado tupo nyuma lakini bado wapo wadau wanaopambana kwenye hii sekta na wanaweza kuwa inspiration.

Uzi huu weka mtanzania yeyote unaemjua ambae alifanya chochote kwenye tasnia ya teknolojia

iwe katoboa au lah it doesnt matter,

awe tu kafanya chochote katika medani za kiteknolojia... hata yule jamaa alietengeneza mashine ya kuingiza sarafu ili bomba litoe maji anahusika hapa.

Muwe mnaongezea na nyama basi, sio unataja tu jina, ongezea details kama Kasoma wapi, Kafanya nini ,
Yupo wapi, n.k.
Kwani tuko mbele kwenye kitu geni?
 
Nape Moses Nnauye - Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia

View attachment 2646807
Hizo ni nafasi za kuteuliwa mkuu,

Huyo hana hata elimu ya mambo ya tech, kateuliwa tu, ni mambo ya siasa

Kwa kuweka hii picha umetutonesha wadau wa tech, Elon Musk alitaka alete internet ya bei nafuu hapa kwetu, wizara imetufelisha
 
Njunwa wa Mavoko..

Hata siijui picha yake lakini ni moja wa vijana aliefanya tuweze kutumia internet bure, alikuwa anasuka software zake zinazoweza kutumia internet bure kwenye pc, malipo yalikuwa ni shilingi elfu kumi kila mwezi utatumia bila kikomo, Pia kwa wale wazee wa dstv walikuwa na huduma yao unasafirishiwa dekoda maalum inayoruka viunzi
Ndie mwamba wa Tunnel Guru nafkiri, yule jamaa anastahili heshima zake asee.
 
Mwingine wakuu ni Chief Mkwawa, huyu jamaa hapa Jukwaa la Tech amelibeba asee, anastahili ajengewe sanamu, kuna miamba hapa JF ikitagiwa mara mbili tu, ina anza kujimwambafy lakini huyo jamaa,nahisi hazipiti siku 2 hajatagiwa kuombwa msaada, na anakuelekeza mpaka utaelewa.
Huyu jamaa aishi milele.
 
Mpwayangu msimsahau nasikia jamaa kwenye tech ya kupambana na walimu yuko vizuri
 
Njunwa wa Mavoko..

Hata siijui picha yake lakini ni moja wa vijana aliefanya tuweze kutumia internet bure miaka ya 2010s, alikuwa anasuka software zake zinazoweza kutumia internet bure kwenye pc, malipo yalikuwa ni shilingi elfu kumi kila mwezi utatumia bila kikomo, Pia alikuwa wakala wa vpn zingine kama tunnel guru na aliweza kutusukia mafaili ya settings.

kwa wale wazee wa dstv nao walikuwa wanauziwa vingamuzi maalum kuruka viunzi.
Mwamba sana aisee

Tunampataje huyu mdau
 
Mwingine wakuu ni Chief Mkwawa, huyu jamaa hapa Jukwaa la Tech amelibeba asee, anastahili ajengewe sanamu, kuna miamba hapa JF ikitagiwa mara mbili tu, ina anza kujimwambafy lakini huyo jamaa,nahisi hazipiti siku 2 hajatagiwa kuombwa msaada, na anakuelekeza mpaka utaelewa.
Huyu jamaa aishi milele.
Mwamba huyu alipewa maua yake mshiri bora JF Tech 2022 walipewa zawadi zao
 
Njunwa wa Mavoko..

Hata siijui picha yake lakini ni moja wa vijana aliefanya tuweze kutumia internet bure miaka ya 2010s, alikuwa anasuka software zake zinazoweza kutumia internet bure kwenye pc, malipo yalikuwa ni shilingi elfu kumi kila mwezi utatumia bila kikomo, Pia alikuwa wakala wa vpn zingine kama tunnel guru na aliweza kutusukia mafaili ya settings.

kwa wale wazee wa dstv nao walikuwa wanauziwa vingamuzi maalum kuruka viunzi.
Mwamba alisumbua sana ila vyoona miznguo kazamia kwenye maji kmya
 
Mwalimu Rct Yuko Wapi?
Salaam Wana JT Tech and gdgets.
Moja kwa moja kwenye kuuliza, huyu mwamba Mwalimu Rct Yuko Wapi? Alitusaidia sana sisi wenye kipato kidogo ktk kuona/tazama channels mbali mbali kupitia Free Sat Receivers alizotuuzia zikiwa tayari tayari. Je, yupo wapi sasa na bado anaweza kufanya majambos? Hii pia niliipata huko UK miaka ya '90s wakati nasoma huko kupitia kwa wajanja fulani wa Kihindi kwa kuona free cable TVs wakati huo bila kadi.
Kama wengine mpo, please njoo PM.
Hii ndiyo mojawapo ya maugunduzi ya Technology hapa kwetu TZ.
Ipo siku nasi tutatusua kama alivyooananza "Elon Musk"
 
Kidogo kidogo tunanyata kwenye mambo ya Teknolojia, lakini hata pole pole ni mwendo.

Najua hapa kwetu Tanzania kwenye suala zima la Teknolojia bado tupo nyuma lakini bado wapo wadau wanaopambana kwenye hii sekta na wanaweza kuwa inspiration.

Uzi huu weka mtanzania yeyote unaemjua ambae alifanya chochote kwenye tasnia ya teknolojia

iwe katoboa au lah it doesnt matter,

awe tu kafanya chochote katika medani za kiteknolojia... hata yule jamaa alietengeneza mashine ya kuingiza sarafu ili bomba litoe maji anahusika hapa.

Muwe mnaongezea na nyama basi, sio unataja tu jina, ongezea details kama Kasoma wapi, Kafanya nini ,
Yupo wapi, n.k.
Chief-Mkwawa
 
Back
Top Bottom