Tujivunie vyetu, waweke hapa wanateknolojia kutoka Tanzania unaowajua wanaoweza kuwa inspiration kwa wengine

Wenye kampuni ya Ramani.io ambayo ndo ime raise investment ndefu kuliko zote kwa Tanzania lakini naona inapita chini ya radar, watu wanaijua Nala lakini Nala inaonekana wamehamisha ofisi Kenya.
 
Mwenye kile kigari kilichobuniwa na UDSM em aweke hapa tuongeze siku za kuishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…