Jesse008
Senior Member
- Jul 11, 2019
- 137
- 104
Wadau me nafikiri Keisangora kuanzisha hii thread ilikuwa sio kwa ajili ya kuscam au kujiproud watu wanamuattack na maneno mara forex ni uwizi ni uwizi usipokuwa na tekiniki ukiwala wewe si utakuwa unawaibia na wew ni mwizi pia
Mara wanakamsemo kao afford what u r willing to loose ndio huja masterforex vizur unaend kueka maisha yako hapo utachezea za uso
Hii biashara inahitaj muda,elimu jifunze technique na uwe umfuatialiaj mzuri wa maswala ya masoko hapo mambo yataenda vizur utaifurahia
Na sio whole day ni kutrade
watu wanachukulia forex ni rahisi na wanaliwa ela zao vizuri kwa sabab ya uvivu hawatak kujishughulisha kujifunza ndo maan wanasema ni uwizi
Alaf kitu kingine unaweza ukatafuta kuna maexpert wa forex wanakusaidia kutrade badala yako mwisho wa wiki wanachukua asilimia 20 ya faida yako makubaliano yenu hapo
Napia kuna forex company zinatoa auto trade chakufanya wewe ni kuchunguza logarithim zao tu hu utaifurahia forex
So biashara za kumuattack aliyeanzisha hii thread sio mpumbavu nimependa wazo lake kwamba tusaidiane
Mara wanakamsemo kao afford what u r willing to loose ndio huja masterforex vizur unaend kueka maisha yako hapo utachezea za uso
Hii biashara inahitaj muda,elimu jifunze technique na uwe umfuatialiaj mzuri wa maswala ya masoko hapo mambo yataenda vizur utaifurahia
Na sio whole day ni kutrade
watu wanachukulia forex ni rahisi na wanaliwa ela zao vizuri kwa sabab ya uvivu hawatak kujishughulisha kujifunza ndo maan wanasema ni uwizi
Alaf kitu kingine unaweza ukatafuta kuna maexpert wa forex wanakusaidia kutrade badala yako mwisho wa wiki wanachukua asilimia 20 ya faida yako makubaliano yenu hapo
Napia kuna forex company zinatoa auto trade chakufanya wewe ni kuchunguza logarithim zao tu hu utaifurahia forex
So biashara za kumuattack aliyeanzisha hii thread sio mpumbavu nimependa wazo lake kwamba tusaidiane