Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

Tunauza magari ya watoto,piki piki na baskeli za watoto

Tunapatikana Tabata Dar esalaam

Call/whatsapp 0764108259View attachment 2299975
Kama hizi zipo?? Na n bei gan? used au mpya????
FB_IMG_16531475454354815.jpg
 
Mafuta ya Alizeti safi
kutoka Dodoma bei ya kitonga sanaaa kwa jumla na rejareja popote ndani na nje ya Tanzania... Karibuni sana tufanye biashara .
0658052710
 
ASALI KUTOKA TABORA.

Nauza Asali Ya Jumla Na Rejareja
Ipo Ya Nyuki Wadogo Na Nyuki Wakubwa.

Tunafunga Kwa Vipimo Tofauti Tofautii

Bei Ya Rejareja
Lita1 - 10,000 (Nyuki Wa Kubwa)
Lita1 - 25,000 (Nyuko Wa Dogo)

Bei Ya Jumla
Tuwasiliane Maana Kuna Ofa Zaidi

[emoji3513]0658 357537
Call/ WhatsApp/Sms
Tabora

[emoji625] [emoji593] Tunafanya Delivery Nchi Nzima.
255694442777_status_db9b33aba6e54e2ca762d917c28c09f2.jpg
 
Natural Skin Solution ; 0713-039 875 . Tunatoa ushauri bure juu ya afya ya ngozi na nywele
 
Nauza na kukopesha viwanja vya makazi bila liba kwa wanao itaji tuu
Location mbagala chamaz mbande ulipo uwanja wa mpira azamcomplex Kilometer 1.5 kutoka mbande magengeni adi sait
Bei kuanzia 1,000,000/=

Maongez yapo 📞 0768041126
Vina ukubwa gani
 
Inaonekana ww ni engineer mzur
Ayo ni mawazo ya mtu asiye kuwa na future kwa mtu anae jielewa anae thaman ya kiwanja ata nunua futi 40×50 ni sawa na mita 12×15 kwa mtu anaye itaj ukibwa zaid ya uo anaweza kuunganisha viwanja viwili na zaid karibuni sana 0768041126
 
Simple sana

Uzi huu ni maalum kwa wafanyabiashara na mjasiriamali yeyote wa mkoa wowote tujuane tupate connection za bidhaa mbalimbali

Mtoa uzi - Tarime Mara - duka la soft drinks 0782741783
Dotto kenyatta

Napatikana butimba sokoni nauza viazi vitamu

Karibu wateja kwa chakula kingi cha kushiba pia kwa wale wenye viazi wanatafuta wateja mimi nipo nanunua.
20220725_085136.jpg
20220725_085702.jpg
20220725_085654.jpg
 
Karibuni vikoi kwa bei poa sana..., vikoi ni vikubwa sana upana wa mita 2, unaweza kushona au kujifunga..., wanaume kwa wanawake[emoji3590][emoji3590]

Bei zangu ni nafuu sana Mtanzania yoyote anaweza kuimudu. Jumla 8,000/=( kuanzia pic 10) na rejareja 10,000/=

KARIBUNI SANA SANA
 
Back
Top Bottom