Tujuane wadau wa biashara, ulipo na bidhaa zako

Dar es salaam kariakoo jumla na reja reja tv., freezer ,refrigerator ac za tcl, euron na bruhm tu
 
Kutoka DSM, najihusisha na ujasiliamali wa kutengeneza viungo vya chakula, detox tea, unga wa lishe maalum kwa ajili ya watoto, wagonjwa wenye upungufu wa kinga pamoja na wamama wanaonyonyesha, natengeneza mafuta ya kukuza nywele na bidhaa nyinginezo za urembo.

Hua naandaa pia kwa ajili ya brand za watu so ukihitaji tunazungumza..... nakuandalia unaenda kufungasha Kwa Lebo yako hata kama upo mikoa mingine ya Tz au nchi jirani.

Ninatoa ushauri wa kitaalam kuhusiana na maandalizi ya bidhaa hizi ili uweze kuzalisha katika ubora unaokubalika Kwa matumizi ya binadamu.
 














Karibuni nauza Vipodozi kwa Jumla na rejareja pia

Tunapatikana Kariakoo Mtaa wa Mafia

0755-155782
 

Attachments

  • IMG_3480.jpg
    57.4 KB · Views: 46
Nyakisasa Empire, Kampuni ya kukusanya madeni.

Tuko Arusha ila huduma yetu ni Tanzania bara,mikoa yote ya bara
 
Nauza korosho zilizotengenezwa tayari kwa kuliwa nakuuzia jumla Kama unataka kufanya biashara hii tuwasiliane kwa no hii 0653109324,Niko mtwara.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
KUNA MZIGO UNAITWA AKAYABAGU KUTOKA BURUNDI [emoji1060] tuonane kwa wenye mahitaji ya jumla jumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…