Tujuane wana JF wa Mwanza

Nina kitambo sijaja mwanza mjini eti yale majengo ya big mall huko furahisha yameshaanza tumika?
 
Pasiansi nzengo gani? Maana sie twajuana kwa nzengo bana, weekend uje hapa kijiwe maarufu cha kahawa idara ya maji pasiansi, unapajua?

Mkuu unanikumbusha jamaa mmoja alipigwa na nzengo nzima na hakufa wala kupata madhara makubwa...kila mtu akawa anamgwaya jamaa kwenye mapambano na mkwara wake ilikuwa anakwambia " wewe mi nilishapigwa na nzengo nzima na wakakimbia wote dogo" ah aha ha aha...utaratibu wa nzengo raha saana.
 

Huyo atakuwa ni chacha wa pasiansi polisi ha ha haaa
 

Mkuu ingawa sipo kitambo ila hiyo ndio mitaa yangu typical nayajua hadi mashimo ya barabarani.
Igogo huko tena, igogo ipi sasa Morafu, Pepsi, au mlimani?
 
Nami ndo mlezi wa JF ROCK CITY WING.

Heshima kwenu wote.
 
Reactions: ram
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…