Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Twende kazi pasiasi hapa
Kesho jioni ntakuja hapo Meridiani kula samaki
Pasiansi nzengo gani? Maana sie twajuana kwa nzengo bana, weekend uje hapa kijiwe maarufu cha kahawa idara ya maji pasiansi, unapajua?
Malimbe ndo mtaa wangu.
We kwako napajua. Ukirudi TZ ntakuja kukusabahi
Mkuu unanikumbusha jamaa mmoja alipigwa na nzengo nzima na hakufa wala kupata madhara makubwa...kila mtu akawa anamgwaya jamaa kwenye mapambano na mkwara wake ilikuwa anakwambia " wewe mi nilishapigwa na nzengo nzima na wakakimbia wote dogo" ah aha ha aha...utaratibu wa nzengo raha saana.
Hahahaaa, Mkuu nimekukubali unasafiri na ungo?! Kumbe upo ilemela, mimi nimejichimbia Igogo hapa, gari acha voil kabisa ndiyo upande huku kwa mguu, kona mbili tatu huwezi kupotea, ila usisahau mwavuli na gambuti, ikifika saa kumi na mbili usije maana utapigwa ngeta!
Ha ha ha uwe unakuja pale Fly Park tupate supu kidogo na nyama choma.Mie nipo hapa nyuma ya gorofa kubwa majengo mapya..ila kitaa chako huwa naibuka sana...
Ha ha ha uwe unakuja pale Fly Park tupate supu kidogo na nyama choma.
Kona ya kwenda Brewaries upande wa kulia kuelekea Airport. Sio kiwanja maarufu sana ila kwa maelezo ya jamaa hapo ni karibu na kwake na strong rulerFly park ni mitaa gani mkuu? Au ni new place nini
Uzunguni? Hebu fafanunua, mwanza hatuna majina ya uzunguni wala uhindini au uharabuni, huku ni majina halisi kama butimba, buswelu, nyamhongolo, pasiansi, nyamanoro n.k
Lumala karibu na Tulele English Medium
Nyasaka stand
Kayenze kwa Waarabu wenye machacha napapata sana hapo ni zaidi ya zanzibar upepo mtam minazi na watoto wa kiaarabu rukuki..
Mkuu siku moja tokea mitaa ya TX huku ujiburudishe kwa BALIMI na Nembe fresh
Kanyerere!
Twende kazi pasiasi hapa
Nami ndo mlezi wa JF ROCK CITY WING.
Heshima kwenu wote.