acha umama wewe wote sie tulikuwa tunafatilia post zake...1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
Umama zaidi ni kusema kila unachokisikiaacha umama wewe wote sie tulikuwa tunafatilia post zake...
yeye anapata taarifa kutoka kwa wadau si kwamba 100% ni yeye kasema..
Wewe ni punguani1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
Mange ni Google wakati wewe ni shilawadu ukome1. Mume wa Zari, Ivan hajafa yupo hai amejificha sababu anadaiwa
2. Nyumba ya South Africa sio ya Diamond
3. Zari ana mtoto mkubwa ambaye anadanganya ni mdogo wake
4. Lowassa ana ugonjwa wa kujiharishia na kupoteza kumbukumbu
Tena siku hizi ameanzisha mchezo anajifanya mdau namba 1 mara 2 kumbe ni yeye anajitungia kama zamani alivyokuwa anaandika msg toka akaunt yake moja kwenda nyingine anascreenshot huku akijifanya kaandikiwa na wadau kumbe ni yeye mwenyew huku akijifanya ku hide id
Na nyie ongezeeni uongo wa huyu bi mdada
Mengi anasema kweli taarifa hakuna yeye ana thubutu kutupa habarLile ni tahira linachopewa mbio kwenda kukipost nasikitishwa na sana na msomi kumtegemea mange kuwa ni mtoa taarifa zenye uhakika